Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi Hospital

1710396290611.png

1710396343285.png

1710396409320-png.2934029
 

Attachments

  • 1710396409320.png
    1710396409320.png
    238.4 KB · Views: 12
We do especially commercial vehicles. What matters is vehicle condition not year of manufacture. You can have 2016 car with 200,000km and someone can get a 2010 with 60,000km.
Wacha upuuzi wewe ati tuna-import 30 years old cars! EAC common market rules zinakataza!
 
While you are partly right on that, you'll also agree that on average, 2016 car models are in way better condition that 2010 models. So generally Kenyans are importing better condition cars than Tanzania.
Honestly.....slightly better.
 
Hii statement ya Nyerere kuhusu one-party state, niliisika miaka mingi ila sikuielewa sana, mpaka majuzi hapa alipokuja Trump. Sasa hivi hili neno "uniparty" linaongelewa wazi wazi kwenye social media.

Mzee alikuwa na maakili aisee.
America never took off the maga cap, it just dyed it blue.
All is illusion of political parties turning blue and red interchangeably halafu watakuambia China ni dictatorial state kisa CCP ndio dominion hata huku Africa ni hivyo tu hatujakaa vizuri tukaja na mfumo wetu wa siasa unao synchronize na mazingira yetu

Nyerere huyo huyo alishasema “Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop according to that particular country”.

Kunyaland ni living testimony kuna mwaka walifanya uchaguzi mara 2 na bado wakapata inept corrupted leaders as usual Pamoja na kwamba 70% hawana running water mpaka leo lakini waliteketeza billions of dollars kwenye upumbavu.
 
No, I want you to tell how a 30yr old vehicle has high chances of being good conditionally compared to 0-7yrs vehicles.
Dude I'm NOT here just for the sake of arguing. Read my above comments you will know where I stand.
 
Nairobi West Hospital. The first hospital to do a bone Marrow Transplant in East Africa and the only hospital in East Africa with an helipad.

1710397523847.png

1710397578719.png
 
Yaani huu uchafu ndio ulikua na tiba ya covid na bado mlikua mnakufa kama panya Pamoja lock down na curfews?

Wengine mlikua mnapigwa kama mifugo wengine kwenye quarantine mlikua na modes of negotiations to escape ila mmepitia mengi mno


View: https://twitter.com/K24Tv/status/1284066353922674688?t=wXer9dwaMZ8mkILWS-IcTA&s=19
 
Back
Top Bottom