Hakuna mahali nimejiongelea mimi kwenye kile nilichao andika.
Nimesema hivii, alifutiwa matokea Galanosi form 4 kwa udanganyifu wa mtihani, pili, five na six alipiga Forest Hill, Morogoro alipotoka na 4. Usilete hapa mambo ya degree kwakua zinauzwa bei chee kwa kilaza yeyote mwenye uwezo wa kulipia.
View attachment 2932229
Sasa wewe uko bize kuniongelea mimi. BTW, seminary hawachukui kilaza na mimi nimetokea St. Francis de Sales, Kihonda, Morogoro. Sisi huanza na pre-form one huko Lububu, Tabora chini ya wasomi wa viwango vya masters kuendelea, mapadre Wakihindi. Huko mwaka na nusu ni kujifunza lugha ya malkia. Ni marufuku kuongea Kiswahili unapoanza form one Morogoro. Wanafunzi wote waliokuwapo Forest Hill ni failures, sasa sijui unanifananishaje na vilaza.
Tatizo lako ni itikadi za NATO chini ya kivuli cha Makobazi.
🙄