Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kutibiwa Kenya nini? Kwanza stocks ya TB drugs tupe progress.
Nina swali moja,
HIVI TANZANIA TULISHAWAHI KU CLAIM KITU CHOCHOTE KIZURI CHA KENYA NI CHA KWETU KAMA KENYA WANAVYOFANYA??
Mfano daraja la Nyerere Kigamboni lilipozinduliwa Kenya mitandaoni waliliposti na kudai ni lao likiwa Mombasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Je Tz tumewahi fanya kitu kama hiki??
 
Hii hasira yote imeletwa ju ya hii. 👇👇😂😂😂 Hospitali 11 pekee za mkoa ndio zikona dialysis machines.

Image
Nyie Kunyaland mna hospital ngapi? Kazi nzuri ya mama hiyo
 
Madokta na manurse mmeshamalizana nao? Au huduma nzuri ni muonekano wa majengo tu.
Kenya wana private hospital nzuri tuseme ukweli.
Ila government hospital za Kenya ni majanga.
Yani Kenya ni nchi iliyojikita katika privatization inayonufaisha wachache na kusahau public sectors zinazogusa wengi.
 
Kenya wana private hospital nzuri tuseme ukweli.
Ila government hospital za Kenya ni majanga.
Yani Kenya ni nchi iliyojikita katika privatization inayonufaisha wachache na kusahau public sectors zinazogusa wengi.
Alafu wanatupigia kelele, sasa private hospitals mwanachi wa kawaida anamudu vipi ndio hao wanakimbilia huku kwetu, ila Bongo kuna utaratibu, unaanza na zahanati iliyopo kitongojini, then hospital ya karibu hasa kata, au kijiji, then kama tatizo linazidi unaenda wilayani, wilaya ikizidi unaenda hospital ya Mkoa, the ikiwa mkoani nako majanga unaenda ya kikanda, mwisho ya Taifa, ila kabla ya yote inategemea tatizo, kuna tatizo lingine ni specialized hospital nyingine, unaweza usifike muhimbili ukaishia Bungando, or Benjamin Mkapa.

Mfano, mimi nikiumwa natokea Mara, naanza na kituo cha afya Nyamongo (Now kinafanya mpaka upasuaji), then Hospital ya Wilaya Tarime, Hospital ya Rufaa Musoma, then Bugando, ukifika Bugando inategemea tatizo limebase wapi? Ni either muhimbili or specialized referral hospital.

Sio kila kitu muhimbili bana, shida hao wamekariri muhimbili.

Hata hivyo before even sijafika huko kuna private, mfano hata kabla hujafika Bungando kuna Sekou Toure
 
Unalilia nini si Unampenda huyo Raisi wenu, Magufuli alikataa huo ujinga wakati anataka kujenga JNHP.
Baada ya kukataa huo ujinga onyesha Barabara hata Moja aliyojenga mbugani badala ya kuleta upuuzi.

Magufuli si ndio alimkana Makonda kwenye Suala la Ushoga? Au unadhani wote wajinga humu ndani?
 
Alafu wanatupigia kelele, sasa private hospitals mwanachi wa kawaida anamudu vipi ndio hao wanakimbilia huku kwetu, ila Bongo kuna utaratibu, unaanza na zahanati iliyopo kitongojini, then hospital ya karibu hasa kata, au kijiji, then kama tatizo linazidi unaenda wilayani, wilaya ikizidi unaenda hospital ya Mkoa, the ikiwa mkoani nako majanga unaenda ya kikanda, mwisho ya Taifa, ila kabla ya yote inategemea tatizo, kuna tatizo lingine ni specialized hospital nyingine, unaweza usifike muhimbili ukaishia Bungando, or Benjamin Mkapa.

Mfano, mimi nikiumwa natokea Mara, naanza na kituo cha afya Nyamongo (Now kinafanya mpaka upasuaji), then Hospital ya Wilaya Tarime, Hospital ya Rufaa Musoma, then Bugando, ukifika Bugando inategemea tatizo limebase wapi? Ni either muhimbili or specialized referral hospital.

Sio kila kitu muhimbili bana, shida hao wamekariri muhimbili.

Hata hivyo before even sijafika huko kuna private, mfano hata kabla hujafika Bungando kuna Sekou Toure
Hawa utawawezaaa!?
Kelele nyingii za debe tupu.
 
Nina swali moja,
HIVI TANZANIA TULISHAWAHI KU CLAIM KITU CHOCHOTE KIZURI CHA KENYA NI CHA KWETU KAMA KENYA WANAVYOFANYA??
Mfano daraja la Nyerere Kigamboni lilipozinduliwa Kenya mitandaoni waliliposti na kudai ni lao likiwa Mombasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Je Tz tumewahi fanya kitu kama hiki??
Hamna hamna, hatuna shombo na nchi yoyote, kwanza wana nini cha kufanya tuvutiwe?
Makomwe?
Slums?
Mbio za wezi?
Mtura?
Mokimo?
Wasanii mashoga Sauti Sol?
Basi za kuchonga?

Well sioni kitu.
Ila Masenge mpaka Jezi ya Bendera yetu walibadili kua Kenya.

Mijitu iligalagala kisa Obama kuwa Raisi wa USA, ila sasa Obama kaanza Bongo kabla ya Kenya. Na hatukua na Shombo nae.
 
Baada ya kukataa huo ujinga onyesha Barabara hata Moja aliyojenga mbugani badala ya kuleta upuuzi.

Magufuli si ndio alimkana Makonda kwenye Suala la Ushoga? Au unadhani wote wajinga humu ndani?
Mbugani unajenga lami ya nini? Sometimes mnajitoaga akili, sasa mbugani lami si inaharibu ladha ya adventures.

Na matatizo yote ya nchi mmeona kujenga lami mbungani ndio la msingi eeh?

Weka statements hapa ya Magufuli kumkana? Namaanisha "Magufuli kumkana"

Makonda aliwekwa pembeni sababu mzee aliweka msimamo watumishi wote waliochukua form kazi hamna.
 
Mbugani unajenga lami ya nini? Sometimes mnajitoaga akili, sasa mbugani lami si inaharibu ladha ya adventures.

Na matatizo yote ya nchi mmeona kujenga lami mbungani ndio la msingi eeh?

Weka statements hapa ya Magufuli kumkana? Namaanisha "Magufuli kumkana"

Makonda aliwekwa pembeni sababu mzee aliweka msimamo watumishi wote waliochukua form kazi hamna.
Umesoma hilo gazeti Kwa nini wanataka kujenga lami na rigid pavement mbugani?
 
venus hata wewe usiogope kuja kutibiwa +254 After all we are the big brother while tz is the errant smaller brother 😆
Unajiuliza maswali na kujijibu mwenyewe. Tanzania ipo na watu zaidi ya 65m na is one of happiest people in this Planet. Unatupigia kelele kutibiwa kwenye nchi of unhappy people.

Je Dawa za TB tulizowapa msaada ziliwafikia?
 
Back
Top Bottom