Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Utoto huo 🤣 🤣 🤣 Copy and Paste From Air Tanzania - The Wing of Kilimanjaro

1710072344363.png
 
Hiyo sijakataa. Ulisema mlikataa kambi yao kisa hiyo ni ubepari lakini wakiwaalika kwenye mazoezi huo sio ubepari
Mbona mataifa ya communists yanafanyaga joint millitary exercise na USA bila shida???
Huu ushamba umeutolea wapi??
Kwani Russia haijai fanya joint exercise na USA??
 
Hatua gani mnapiga? Ama ya kuwa na zero wins in AFCON history?
1)Ligi yetu imepanda hadhi duniani kuwa nafasi ya 64 na Afrika nafasi ya 6.
2)Tumepanda nafasi 16 ndani ya miaka miwili katika viwango vya Fifa.
3)Timu zetu huleta mapato mengi kila mwaka kutoka klabu bingwa Afrika.
Je hizo sio hatua(hususan no.2)??
 
Back
Top Bottom