mwaiofhawaii
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 4,812
- 5,263
Bongo Army was in my hometown this week training… poorly equipped with world war 2 sufuria helmets..😂😂
Ndio maana nikakwambia ww ni mpumbavu wa akili 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio maana watu wa taveta hukimbilia Moshi kupata matibabu KCMC unajua kwann?? KCMC ni referral hospital
Na hzo 11 national referral hospitals zina kila aina ya upasuaji na matibabu bingwa
View attachment 2929929
View: https://twitter.com/mmtairo/status/1369543216064831491?t=8inL_M4I_BJQNGAJllB9lQ&s=19
Nyie wanuka mavi bado sana.Kenya has 54 referral hospitals. Of these, 7 are national referral hospitals while 47 are county referral hospitals
12km from Dar is a slum CBD 😂 😂 😂 😂 👇 👇 Au nimedanganya?
Dunia ni mviringo au wewe ni wale waumini wa flat earth? Kwa umbali wa 12km kutoka pwani huwezi kuona chochote chenye kimo chini ya 30ft (10m). Dar kubwa, sasa inategemea wapi hiyo picha imepigwa, kama hakuna jengo la kimo cha angalau 40ft (12.19m) huwezi ona kitu.12km from dar cbd, imejengeka mbaya sana. 😂 😂 😂 👇 👇
Sasa nini ni tofauti Kati ya county hospital na regional referral Hospital?Hospitali hupewa rank ju ya vifaa na services offered. Kenya all the 47 county referral hospital zikona renal units. Bongoslum only 11 regional referral hospitals ndio zikona renal units. So bado mko nyuma kama matako. 😂 😂 😂
🤣🤣🤣Wewe sio mtu anaeza kaa chini and reason shit out like a man
Ni sawa waandamane kule ni haki Yao ya msingi na ya kikatiba!Geza Ulole una maoni gani kuhusu maandamano ya wakulima Ujerumani na Ulaya kwa ujumla?
Tanzania kule CAF timu zake zimeingiza zaidi ya Tzsh 4 billions kwa kuingia robo fainali.
Najaribu kukuelewesha uelewe lakini sikulazmishi 😂😂😂😂😂😂Umekosa points umeenda kutafuta old news ndio ujiliwaze. 😂 😂 😂
Haya Malori yote inayaona hapa hamebeba makaa ya mawe.
View: https://youtu.be/BKuBc7enwJI?si=c2nOb9blLt6ZEyrV
Ipo hivyo na njia ya Mbinga-Njombe-Iringa-Dodoma.hadi Namanga
Ni sehemu ya matumizi piaTunachotaka kujuwa ni, je hela yetu imekusaywa au ndo wameitumia kufanyia bethidei ya mtoto kwenye ndege?