Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe mpuuzi kweli. 🤣 🤣 🤣 Ficha ujinga wako.
1. Hizo umeweka Regional Referral Hospitals
2. Haujaweka National Referral Hospitals
3. Mambo ya Afya siyo ya Muungano. Nenda kwenye Wizara ya afya ya Zanzibar ukaongezee Regional Referral Hospitals.
Bado Zonal Referral Hospitals
Hizo 28 ni regional Referral Hospitals. 🤣🤣🤣🤣

ACHA KUPOTOSHA UMMA.
Bwbu weka hiyo list ya national and zonal referral hospitals hapa tuone
 
Alafu watakuambia ati they are good at football na ukaiangalia results wamekuwa wakipigwa kama mwizi. Kenya has been rapping Tanzania through out.
We baki na stori ila in football asahv Tanzania ipo na muenendo mzuri.
Siku mtayohodhi mashindano makubwa MPAKA RAIS WA FIFA NA MAKOCHA WAKUBWA KAMA WENGER WAKAJA NDIO TUTAONGEA LUGHA MOJA.
 
Wakiongea utadhani Tanzania ni Brazil kumbe hata Sisi tumewashinda kimpira.🤣
Hawa huwa tunanyorosha kama bibi zetu

1710068410898.jpg
 
We baki na stori ila in football asahv Tanzania ipo na muenendo mzuri.
Siku mtayohodhi mashindano makubwa MPAKA RAIS WA FIFA NA MAKOCHA WAKUBWA KAMA WENGER WAKAJA NDIO TUTAONGEA LUGHA MOJA.
Which Sport is Tanzania good at? Mbona hiyo swali simple inakushinda kujibu?
 
Back
Top Bottom