Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Bado unaleta stori za zamani.
Kenya inakamia Tanzania tu. Kenya never go anywhere 🤣 🤣 🤣
Anakuletea historia akati usema utizame historia basi BRAZIL hadi leo ingekua timu ya kwanza katika rank za fifa maana wana makombe matano ya dunia kuliko taifa lolote.Kenya inakamia Tanzania tu. Kenya never go anywhere 🤣 🤣 🤣
Kenya is dead. Mwai Kibaki Kaondoka na Kenya 🤣 🤣 🤣 Kwa sasa Kenya ni kituko cha DuniaAnakuletea historia akati usema utizame historia basi BRAZIL hadi leo ingekua timu ya kwanza katika rank za fifa maana wana makombe matano ya dunia kuliko taifa lolote.
Ila mpira unatizama evolution,consistency na current performance.
Which Sport is Tanzania good at?Bado unaleta stori za zamani.
Arsenal ni miongoni mwa club ambazo zilikua zikifanya vibaya ila sasa hivi ipo top three EPL,je kisa rekodi za nyuma ndio tuseme arsenal haiko vizuri asahv??
Tanzania ina ligi namba 64 duniani kwa ubora namba 6 Afrika kwa ubora.
Tanzania ina wachezaji wengi wanaocheza timu za ulaya .
Ndani ya miaka miwili Tanzania imepanda nafasi 16 za viwango vya FIFA.
Klabu za ligi ya Tanzania hushiriki kila mara klabu bingwa Afrika na kuingiza mapato serikalini na klabuni.
We endelea kubaki na historia.
Tuoneshe sasa mafanikio 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇
We are talking about Makombe mdogo wangu 🤣🤣🤣🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kama unatizama history basi BRAZIL angekua yupo juu mpaka sasa hivi.
Kenyan clubs have won more CECAFA trophies than any other country.
Hatuioni Kenya hapa 🤣 🤣 🤣 🤣 👇👇👇 Kenya vision yao ni kuifunga Tanzania tu. Baada ya hapo wanapotea.
I'm not looking at history. How many games did Tanzania win at the just concluded AFCON tournament?Kama unatizama history basi BRAZIL angekua yupo juu mpaka sasa hivi.
Ushaishiwa hoja baki na maumivu.
Hongera kwa kujifariji. Kenya is Dead. Unaishi kwenye kaburi mdogo wangu. Kibaki kaondoka na kenya. 🤣 🤣 🤣 Kwa sasa mnaishi kuzimu.
Mavi ya kale hayanuki. We are talking about current affairs. Wewe unaongelea long long time ago wakati Russia ikiitwa USSR, Congo DRC haikuwa EAC, Sundan ikiwa one Country.I'm not looking at history. How many games did Tanzania win at the just concluded AFCON tournament?
Sasa wewe kilaza wa Tandale unajua zaidi kuliko serikali yenu?Tanzania unaposema referral hospitals maana yake ni national referral, alaf kuna regional hospitals
Ndio maana nikamwambia Tanzania kuna referral hospitals nyingi zaidi so mwambie akae kwa kutulia 😄😄😄😄
Wewe mpuuzi kweli. 🤣 🤣 🤣 Ficha ujinga wako.Sasa wewe kilaza wa Tandale unajua zaidi kuliko serikali yenu?
Tanzania has 28 referral hospitals na ni serikali yenu inasema hivyo
Their government came for benchmarking at Kenya University Teaching and Referral Hospital.Sasa wewe kilaza wa Tandale unajua zaidi kuliko serikali yenu?
Tanzania has 28 referral hospitals na ni serikali yenu inasema hivyo