Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha ubishi wa kifala we jamaa.
Mataifa takriban 20+ yalikuja Kenya kwa wito wa USA SIO KWA WITO WA KDF.
NA IMEFANYIKA HIVYO KWASABABU KENYA KUNA US MILLITARY BASE.
TANZANIA HAKUNA US MILLITARY BASE.
Na aliyeratibu mafunzo ni US army sio KDF.
Punguza ubishani wa kifala.
1709911820465.jpg
 
Leta mapato ya rugby kesha tufananishe na mapato yanayozalishwa na ligi ya NBC premier league.
Kesha tufananishe na mapato yanaopatikana timu zikishiriki CAFCL.
Mapato unataka kufanyiwa nini? Ama ndio itafanya Tanzania uanze kushinda mechi zake AFCON?

Right now you should be planning on how to get your first ever win at AFCON.
 
Mapato unataka kufanyiwa nini? Ama ndio itafanya Tanzania uanze kushinda mechi zake AFCON?

Right now you should be planning on how to get your first ever win at AFCON.
Mbona unazunguka zunguka??
Si mnasema what is TZ good at??
Leteni mapato ya rugby tuyafananishe na ya NBC league na mapato ya kushiriki CAFCL.
Kuhusu sie kushinda usijali we are evolving ndio maana ndani ya miaka miwili tumetoka nafasi ya 135 mpaka 119.
 
Back
Top Bottom