Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

sasa sisi na ubepari ni wapi na wapi mzee yaani aje kuweka kambi kwa mjamaa? Ujue alijistukia akajua tutajilamba kama nyie kuwalamba matako akakuta mfupa ni mgumu akawa mpole tuu

?
Ni ubepari akiweka kambi lakini sio ubepari akikualika uje kwenye mazoezi aliyoandaa. Tena unakuja Kwa mbio Tena haraka. What a satire!!
 
Ni ubepari akiweka kambi lakini sio ubepari akikualika uje kwenye mazoezi aliyoandaa. Tena unakuja Kwa mbio Tena haraka. What a satire!!
huko kwao huone wanaalikana kwenye mazoezi bahari nyekundu ama nyeusi we ni kilaza wa wapi.
 
Sasa ni wapi hii Dunia casinos hazipo? Is this how bad inferiority complex has affected you?
These guys honestly need to travel outside tanganyika.....its becoming embarrassing seeing some submissions from tanganyikans over here. Yes they have tried over the years but they think other countries ain't moving...lol
 
Hizi pictures 3 tu ndio zipo toka JF ianze, hakuna pictures nyingine za kuonesha uchafu wa Dar zaidi ya hizi za miaka ya 70s 😁😁😁
Of course kila kitu chenu kibaya ni ya 1970s. Hata brt mlijenga 1970s
images - 2023-11-21T202754.398.jpeg
 
In 2024 majamaa bado wanafurahia kuona ghorofa na dual carriageway.
😂 😂 😂
Unajua nyinyi ni watu wa ajabu sana na Tanzania always hua inawa prove wrong

Mulikua munapost thika superhighwa tulipowajibu na mbezi kibaha superhighway tena yenye BRT lanes mukakaa kimya

Mulikua munaulizia 1km of SGR mulipogundua modern electric SGR tena ujenzi wa over 1500km unaendelea kimya


Yani hua hatujui munataka kitu gani😄😄😄
 
Sasa ni wapi hii Dunia casinos hazipo? Is this how bad inferiority complex has affected you?
Njoo na ile Account yako nyingine 🤣 🤣 🤣 🤣 Unakuja kwa kuvizia. Kenya is Hopeless Country

Small Planet Sinza(former La Chaaz) - Dar es salaam Tanzania​

1710007769082.png


1710007992995.png


1710008239289.png
 
Back
Top Bottom