Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Adesina alikua one of the best friends of Magufuli, Samia anapata huu ukaribu sababu Adesina ni true friend's keeper na aliahidi mipango yote waliopanga kuhusu Tanzania na Magufuli ataitimiza


View: https://twitter.com/akin_adesina/status/1372296752875851781?t=_TrYSoWAzP5MF38o3qdhbg&s=19


View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1492034751624007681?t=jyNtiwAgCNLudjiK6WQ3eA&s=19

View attachment 2926241
View attachment 2926239View attachment 2926240

kifo cha huyo mwamba kiliniuma sana mimi ni mpinzani lakini nlikuwa namkubali sana na nlimpigia kura nlilia sana kwa kifo chake tutachukua muda sana kumpata raisi mwenye maamuzi kama yeye na upendo kwa nchi yake.
 
Had a feeling Talanta Stadium was a PPP project. The completion could even be before the deadline.

Source

1709736695519.png
 
Had a feeling Talanta Stadium was a PPP project. The completion could even be before the deadline.

Source

View attachment 2926264
Mali nyingine ya mchina 😂😂😂 hata mkitaka kufanya national functions zenu lazima mkamuombe mchina funguo na mtoe viingilio 😂😂😂

Ama kweli mchina yupo Kunyaland to stay 😁
 
Haya ni mambo alianzisha Magufuli, ujenzi wa shule za ghorofa na bab'kubwa. Kabla ya hapo hakukuwa na rais yeyote aliyekuwa na uthubutu wa kujenga shule za namna hii.

Na hii ndio Magufuli legacy yenyewe, UTHUBUTU.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Shule Nchi hii alianzisha kujenga Magufuli 😁😁😁😁😁😁

Bado hujasema Hadi useme ,Soma kazi ya Samia hiyoo 👇👇
1149568418.jpg
-26816999.jpg
1133166747.jpg
545413342.jpg
1049628723.jpg
-98455632.jpg
1511504046.jpg
1571196724.jpg
1965821372.jpg
-355586099.jpg
2054132202.jpg
-167290566.jpg
1390032884.jpg
 
Mijikenda is the closest Language to Swahili and it is a direct descendant of Kingozi which is the original Swahili Language from Shungwaya - Modern day Lamu. The Kingozi language borrowed from Arabic and Portuguese and other languages to form Swahili. Listen to this song sang in Mijikenda, you might think the song is in Swahili - but it's Mijikenda. The language from which Swahili was created from. Mwengine atakwambia Swahili is not a Kenyan language.


View: https://www.youtube.com/watch?v=wtzHbyLGtpQ

That's obvious
Swahili is 70% mijikenda.
 
Back
Top Bottom