chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,673
- 45,901
Hivi mnavyoita school, shule na money hela ni nani kayaleta hayo maneno Kunyaland sababu yanajulikana yametoka kwenye Kijerumani ambapo wajerumani hawakuwahi kuitawala Kunyaland isipokua Tanzania šš mtakuja kusema ni maneno kutoka KunyalandSasa tukupe Zawadi ama?
Yaani kuna kila aina ya ushahidi kuprove kiswahili sio mali yenu