NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,977
Sindano hiyo inawaingia kweli kweli.🤣🤣Wakenya bana mzee tunashukuru kwa kutuachia kumbukumbu, sasa na unaambiwa uwanja wa 330m dollars unajengwa kwa Miezi 12.
Na hizo dollars mnazitoa wapi ikiwa vimradi vya SGR, EXPRESSWAY, mmeshindwa mpaka mchina akachukua kwa miaka.
MSITEGEMEE HAPO MCHINA ATAFANYA KAMA EXPRESSWAY, KWA MAPATO GANI UWANJA UTAINGIZA?
MTAKUA MNAKIMBIA RIADHA KILA WIKI?