AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 1,113
- 2,968
Na hii ilikuwa hivyo hivyo toka kipindi cha Hamisi kurudi nyuma (yaani, mkurugenzi mkuu ndo huyo huyo mkurugenzi wa Dar) au wamebadilisha mfumo?
Ilikuwa hivyo toka kitambo..kuna kuwa na mkurugenzi wa DSM Port halafu kuna kuwa na mkurugenzi Mkuu wa TPA bandari zote.