Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

According to you this is the house of a rich man in Kenya?

View attachment 2918923

And this is the house of a poor man in Tanzania?

11793a9afc648d10aaf048b469677b59.jpg
Brothee that house which you posted here ni ya Mtanzania anayejengwa kwa kudunduliza.
Yani asiye na uhakika wa kipato toshelezi na hata gharama yake ukitajiwa ushangae aisee.
Screenshot_2024-02-28-10-50-45-94_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg


Hii nyumba imejengwa Mkuyuni Morogoro kijiji hata rami ya uhakika hakina kijiji cha wakulima na wafugaji.
Hiyo imejengwa kwa tofali za kuchoma na ikapigwa skimming na paa muinuko.
Yani kiufupi aliyejenga ni mtu wa kipato cha kawaida sanaa anaetegemea kuvuna mahindi na kuuza maziwa.
 
What you posted is a contemporary design. You can find that anywhere in the world. I'm talking about common designs that are unique to Kenya and Tanzania.
Khaaaa!
Hiyo design tumekua tunatumia miaka na miaka!
Hata nyumba yetu ya kwanza tulojenga 1998 ilikua na design hiyo sema ni ya chini.
That is a common design to us budda.
 
Brothee that house which you posted here ni ya Mtanzania anayejengwa kwa kudunduliza.
Yani asiye na uhakika wa kipato toshelezi na hata gharama yake ukitajiwa ushangae aisee.
Same na hiyo ya Mkenya nikiyolinganisha nayo. It is not a high earner. Hii Ni nyumba ya Mwalimu ama Karani hapa Kenya. I'm comparing apples to apples.
 
At least this one is something. This one is not a Kitenge mansion.
Hili jina kitenge I don't know mmelitoa wapi!!?
Ila in Kenya kuna nyumba za Mombasa nazipenda sana yani zimekaa design ya kisultan hivi.
Hivi bado mwazijenga hadi sasa?
 
Hili jina kitenge I don't know mmelitoa wapi!!?
Ila in Kenya kuna nyumba za Mombasa nazipenda sana yani zimekaa design ya kisultan hivi.
Hivi bado mwazijenga hadi sasa?
Mombasa Kuna Waarabu na Waswahili kibao. Hizo ndio design zao maanake Ni waislam. Hiyo ndio culture Yao. Ukipata Mombasa nyumba isiyo Na architecture ya kiislam jua aliyeijanga ni 'Mtoka bara' kama wanavyotuita Sisi tusio na asili ya kipwani.
 
Khaaaa!
Hiyo design tumekua tunatumia miaka na miaka!
Hata nyumba yetu ya kwanza tulojenga 1998 ilikua na design hiyo sema ni ya chini.
That is a common design to us budda.
Sijasema hamjaitumia, nimesema ni contemporary design. Contemporary design Ni minimalistic design yenye inafocus on utility, functionality and simplicity. Hiyo ni design iliyo worldwide. Ukienda nchi yoyote utaipata kwa hivo Sio design ya kuringa nayo kama Mtanzania. Naongolea design mlizobuni wenyewe na ziko very common huko kwenu.
 
Sijasema hamjaitumia, nimesema ni contemporary design. Contemporary design Ni minimalistic design yenye inafocus on utility, functionality and simplicity. Hiyo ni design iliyo worldwide. Ukienda nchi yoyote utaipata kwa hivo Sio design ya kuringa nayo kama Mtanzania. Naongolea design mlizobuni wenyewe na ziko very common huko kwenu.
Basi pia kuna aina nyingi za ubunifu w upauaji, nikipata wasaa nitapiga picha nikuoneshe.
 
Back
Top Bottom