Mkuu
Kosugi kama sitakukwaza naomba kukuelekeza kuweka picha vizuri ili zionekane sawa.
View attachment 2918817
Hapo kuna namna mbili, hiyo ya kwanza juu unadrop image tu hasa ukiwa una picha moja tu, bonyeza ya juu hapo.
Hiyo ya chini ya
attach files ni kwa ajili ya more pictures kwa wakati mmoja sasa ndio naona unaitumia sana kama nipo sahihi.
Sasa kutumia hiyo fanya kuselect image, inakuja hivi.
View attachment 2918822
Kabla ya kupost reply bonyeza hapo, mshale ulipo Insert.
View attachment 2918823
Then chagua full Image. Deal done
View attachment 2918824
Ndio unapost.
Ukiwa na picha nyingi subiri picha zote ziload zikamilike alafu hiyo insert itakua
Insert multiple unaclick inaselect zote then chagua Full Image.
Hizo picha zako zinakuja kama thumbnail.
Natumai sijakukwaza. Ni kusaidia tu ili picha zako ziwe instant visible 🙏