Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye kulea watoto tuhakikishe wanapata exposure ya kutosha, ili asije kupaparika na vitu vya kawaida akiwa mkubwa maana ni aibu. 😂😂😂

View attachment 2915080
Kuwa na remote haimanishi uko na Netflix ama DSTV. Maybe wewe ni fundi wa remote na uliletewa uzitengeneze😂😂😂
 
Sibishani na washamba.
Sii kubishana bro, Ni kujibu swali. Nimekuja kugundua Wabongo mnakuwanga na projection Sana. Yani ukiona Mbongo anakuita mshamba, jua yeye ndio mshamba. Akikuita maskini, jua yeye ndio hohehahe kabisa. Sasa wewe hapa after tumekutoa Huu ushamba wote bado una nguvu ya kuita mtu mshamba?🤣
 
Kwenye kulea watoto tuhakikishe wanapata exposure ya kutosha, ili asije kupaparika na vitu vya kawaida akiwa mkubwa maana ni aibu. 😂😂😂

View attachment 2915080
Kiukweli kaka mana huyu jamaa anatia aibu jamii yake humu ndani sio poa 😂😂😂 Yani jamaa katufikisha kubishana kuwa na Netflix 😂😂😂😂 Ooh my God
 
Kuwa na remote haimanishi uko na Netflix ama DSTV. Maybe wewe ni fundi wa remote na uliletewa uzitengeneze😂😂😂
Lack of exposure, Netflix umejulia ukubwani.
IMG_4482.jpeg
 
Kwenye kulea watoto tuhakikishe wanapata exposure ya kutosha, ili asije kupaparika na vitu vya kawaida akiwa mkubwa maana ni aibu. 😂😂😂

View attachment 2915080
Nimewaambia hii Nguruwe Teargas ni Kiumbe fulani fukara na amekulia katika maisha duni. Nikiangalia comments zake nambaki kumsamehe tu.

Yaani katika karne hii tuanze kubishania issues za Netflix serious!!?
 
Sii kubishana bro, Ni kujibu swali. Nimekuja kugundua Wabongo mnakuwanga na projection Sana. Yani ukiona Mbongo anakuita mshamba, jua yeye ndio mshamba. Akikuita maskini, jua yeye ndio hohehahe kabisa. Sasa wewe hapa after tumekutoa Huu ushamba wote bado una nguvu ya kuita mtu mshamba?🤣
Wengi wao hapa ni washamba na maskini ajabu.😂😂😂
 
Kiukweli kaka mana huyu jamaa anatia aibu jamii yake humu ndani sio poa 😂😂😂 Yani jamaa katufikisha kubishana kuwa na Netflix 😂😂😂😂 Ooh my God
Wakati naanza kutumia Netflix ku-stream movies miaka hiyo yeye alikuwa analiwa na jiggers. 😂😂😂
 
Huu ndio ushamba tunaongelea. Sasa remote ni kitu cha kuflex nacho? Mwengine anaflex na 32 inch TV. Yani Wabongo mna shida kweli.🤣🤣
Alafu TV enyewe ni Itel na jamaa kametumia snapshots. Mwanaume yupi anatumia snapshots in this universe?😂😂😂.

He is the same guy mwenye alikuwa anatafuna chupa ya soda kwa kibanda.
 
I finished Netflix Mpakani series…. Fire Fire …ni moto sana… can’t wait for the second season… lots of questions left unanswered… Hongera to the production team… Kenya leads others follow…
 
Back
Top Bottom