Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna Netflix, huna kazi, unakula kwa kibanda alafu unalishwa na bibi.

Hufai kuongea mbele ya wanaume.
Hii Nguruwe ya Nairobi ndio mwaka huu inajua Netflix. Netflix ipo kwenye smart tv.
Hili Guruwe pori kutoka kibera lina bwabwaja nini?

Ukibishana na ignorant kama Teargas ni kujishusha thamani.
 
Mimi nimeanza kumiliki hizo smart TV kipindi wewe ukiwa pale jela or sorry kumbe ulikua campus 🤣🤣🤣 👇 here is my second 32 inch StarX Smart 2020 hii👇View attachment 2915056.. mimi sio mshamba mwenzako wewe..
Nakuliza Netflix wewe unanionyesha TV za 7,000. And I won't be surprised kama TV hata sio Yako, most probably imenunuliwa na msichana na sio wewe.

Now tell us, do you have Netflix?
 
Of course hana. Kama anasema aliwatch Movie Netflix mwaka wa 2019 yet movie yenyewe iliongezwa Netflix mwaka wa 2022. Jamaa anadanganya alafu anaplay victim ati ooh tunaumwa. Tuumwe nini na uongo wake. Proof ndio hii hapa. 🤣 🤣
View attachment 2915064
Sasa bila shaka Netflix itakuwa imewapunguzia bei ya unga bila shaka na pia imepunguza madeni mnayodaiwa kama nchi. Punguzeni ushamba mna ushamba kwa vitu mpaka havisaidii havikuongezei income tafuta okoa maisha ya kina mama TURKANA na watoto mko mnashindania Netflix hio ego mlionayo mtapotea kizazi na kizazi.
 
Of course hana. Kama anasema aliwatch Movie Netflix mwaka wa 2019 yet movie yenyewe iliongezwa Netflix mwaka wa 2022. Jamaa anadanganya alafu anaplay victim ati ooh tunaumwa. Tuumwe nini na uongo wake. Proof ndio hii hapa. 🤣 🤣
View attachment 2915064
Kwanza anasema aliwatch 2018 na amekazana anataka tumuamini😂😂😂😂.

Watanzania ni watu wa ajabu sana😂😂
 
Sasa bila shaka Netflix itakuwa imewapunguzia bei ya unga bila shaka na pia imepunguza madeni mnayodaiwa kama nchi. Punguzeni ushamba mna ushamba kwa vitu mpaka havisaidii havikuongezei income tafuta okoa maisha ya kina mama TURKANA na watoto mko mnashindania Netflix hio ego mlionayo mtapotea kizazi na kizazi.
Wale wa kugeuza magoli wakishapewa facts ndio hao washaingia. Bongolalas are so predictable. 🚮 🚮 🤣
 
Nakuliza Netflix wewe unanionyesha TV za 7,000. And I won't be surprised kama TV hata sio Yako, most probably imenunuliwa na msichana na sio wewe.

Now tell us, do you have Netflix?
Huo mwaka hiyo TV nilinunua 370k Tz money.
 
Kwanza anasema aliwatch 2018 na amekazana anataka tumuamini😂😂😂😂.

Watanzania ni watu wa ajabu sana😂😂
Yani aliiwatch Netflix kabla iwekwe Netflix. Chenye kimenishanganza ni ile vigour anasema nayo. Jamaa anataka kulia eti tunamuonea kwa kutomuamini wakati anadanganya kweupe. These guys are a special case. 🤣🤣
 
Wale wa kugeuza magoli wakishapewa facts ndio hao washaingia. Bongolalas are so predictable. 🚮 🚮 🤣
wewe ndie mgeuza magoli mkuu kkuna asie lijua hilo huku jukwaani? kwanini usikubali tuu ninyi ni washamba tuliwambeni kitambo leteni project mpya za nchi mnazozifanya ikageuka blah blah! hamna chochote zaidi ya konza city mlioleta ya miaka nenda rudi sasa tusiwaone mna kasoro.
 
Mimi nimeanza kumiliki hizo smart TV kipindi wewe ukiwa pale jela or sorry kumbe ulikua campus 🤣🤣🤣 👇 here is my second 32 inch StarX Smart 2020 hii👇View attachment 2915056.. mimi sio mshamba mwenzako wewe..
Kwenye kulea watoto tuhakikishe wanapata exposure ya kutosha, ili asije kupaparika na vitu vya kawaida akiwa mkubwa maana ni aibu. 😂😂😂

IMG_4481.jpeg
 
Yani aliiwatch Netflix kabla iwekwe Netflix. Chenye kimenishanganza ni ile vigour anasema nayo. Jamaa anataka kulia eti tunamuonea kwa kutomuamini wakati anadanganya kweupe. These guys are a special case. 🤣🤣
Anadhani anaongea na washamba watanzania.
 
Back
Top Bottom