Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani hata itel TV ya 24k lazima aibe picha aedit.🤣🤣
Nilikuwa nakuona kuwa upo na exposure kumbe na wewe ndio wale wale tu. Yaani miaka hii unaongelea smart tv hapa TZ. Kijana kama huko kenya smart tv ni kitu cha kustua, hapa tz ni kitu cha kawaida sana.

Mpaka watengezaji wa tv wapo kwenye team za mpira bongo.

1708800105013.png
 
Nimepiga picha remote kuwaonesha hiyo Netflix mnatupigia nayo kelele hapa ni kitu cha kawaida, mbona ume ignore maneno nimeandika!
Ushamba mwingine ndio huu hapa.

All smart Tv zinakuja na remotes like those, sio lazima ukuwe na Netflix ndio remote ya TV yako ikuwe hivo.

Yani kila mtu Tanzania ni mshamba😂😂
 
Ukiondoka hapa ujue value yako nimeishusha. Amebaki mkenya mmoja tu ninaye muona kidogo yupo na exposure. Mengine ni mabumunda tu.
Binafsi kwasasa heshima yangu nimebakiza kwa tonny na yule jamaa mwenye alikuja bongo juzi kati+ yule mmiliki wa truck moja US a.k.a Mwaisa Sadima Dickson, hawa pekeao ndio watu wamaana wenye wanajua vitu waliobaki ni mabumunda wote 😂😂😂 maskini sana+ ushamba
 
Ushamba mwingine ndio huu hapa.

All smart Tv zinakuja na remotes like those, sio lazima ukuwe na Netflix ndio remote ya TV yako ikuwe hivo.

Yani kila mtu Tanzania ni mshamba😂😂
Sasa wewe unakuja kutupigia kelele kuhusu Netflix. Wazazi wako walikuwa wanatumia TV hapo Kibera?

Ukute TV umeionea chuoni kama ile mara yako ya kwanza kuona Skate Boots ukapiga na picha kabisa
 
Back
Top Bottom