Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Vs Aga khan Kisumu
Screenshot_20240223-000552_Facebook.jpg
 
Kwa hiyo rank wewe unashuka Tz anapanda??
Tumetokea toka 135 2022 mpaka 119 2024 wewe ukaishia ku drop.
Na kwasasa Tz ina timu bora maana imeshiriki mashindano mengi hivyo wewe umebaki rank tu ila kiubora hauna ubora.
That’s like saying Tanzania is richer than the United States because your economy grew at a higher percentage last year… you are arguing with the economy graph screaming….. look at the curve … Tanzania is moving up while America is down… So Tanzania economy is stronger….. Now you see how dumb that sounds?… so let’s now get back to those FIFA rankings… Kenya is officially better than you … am sure FIFA analysts know better than you or as Bongolalas like to say .. wewe na Mzungu Nani anajua zaidi?… 😂😂😂😂
 

Masaki is just a child's play. Hii Riverside hata ni ya Middle Class. Wherever you see an apartment in Kenya just know no rich people live there. In rich neighborhoods (like Runda and Muthaiga), filming is prohibited and even if you manage to film at street level, you won't see any houses, they are hidden behind tall hedges. Now that is where the "rich hide"
 
That’s like saying Tanzania is richer than the United States because your economy grew at a higher percentage last year… you are arguing with the economy graph screaming….. look at the curve … Tanzania is moving up while America is down… So Tanzania economy is stronger….. Now you see how dumb that sounds?… so let’s now get back to those FIFA rankings… Kenya is officially better than you … am sure FIFA analysts know better than you or as Bongolalas like to say .. wewe na Mzungu Nani anajua zaidi?… 😂😂😂😂
Hizi ndio akili ambazo mko nazo zinawapoteza.
Usitoe mfano wa Tz na USA ni irrelevant.
SASA HIVI USA NA CHINA NANI ANATAMBULIKA KAMA ECONOMIC GIANT???
USA AMEBAKI KI RANK TU KAMA ECONOMIC GIANT JAPO CHINA NI WA PILI ILA YEYE NDIYE KASHIKILIA UCHUMI WA DUNIA.
KWASABABU GEOPOLITICALLY CHINA NDIYE ANAYEONGOZA.
NDIO SAWA NA WEWE UNA POOR PERFORMANCE UNA DROP DAILY ILHALI TZ INAPANDA DAILY.
HIVYO KE SAWA NA USA NA TZ SAWA NA CHINA.
USITOE MIFANO IRRELEVANT
 
Unakuwanga Na kasumba ya kuingilia mijadala usiyojuwa imetoka wapi halafu ukipigwa na facts unaanza kulialia ukihamisha magoli.
Jamani humu mijadala ya wote hakuna mjadala wa mtu.
Pia mbona ulichoongea kinaeleweka nini unalenga??
Labda wewe ndio uhamishe magoli.
 
Back
Top Bottom