Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na unatakiwa uelewe dodoma ndio inajengeka sasa hvi kwasababu serekali yote imeshaanza kuhamia dodoma na sasa ikulu inajengwa dodoma na dar itabaki kama mji wa kibishara afrika mashariki

Naona inajengeka kweli kweli huku picha mnazoweka ni za kutoka Kenya. Ridhika na yako hata kama ni mbaya
 
wewe huna elimu ya kunifundisha mimi kwanza hilo ulitambue, unaniletea link au uchafu 😀😀😀😀

Tushakuzoea wewe hapa jf. Kila ukikosa hoja kazi yako huwa ni kutapatapa na kudhalilisha hoja za wengine
 
Tushakuzoea wewe hapa jf. Kila ukikosa hoja kazi yako huwa ni kutapata na kudhalilisha hoja za wengine
huna hoja toka day one ulivoingia hapa jf, acheni tabia ya kudharau wengine msiowajua usifkiri siku zinafanana😀😀 mtu mwenyewe umeingiai jf juzi unataka kujifanya mjuaji sana
 
inamaana iyumbu project ni ya kenya sawa ???😀😀😀😀😀😀😀😀

Wewe una macho kweli? Hujaona mwenzako aliweka picha ya greenpark estate ya athi river kuwa ni moja kati ya projects ya hiyo uyumbo? Na kila mara nyie ndo mnasema wakenya hupika data. nani mpika data sasa?
 
na unatakiwa uelewe dodoma ndio inajengeka sasa hvi kwasababu serekali yote imeshaanza kuhamia dodoma na sasa ikulu inajengwa dodoma na dar itabaki kama mji wa kibishara afrika mashariki
Always full of excuses....dude are you a lady???....kubali Dodoma no sawa na garissa
 
Alaf hawajui kama dodoma inajengwa kimya kimya yani hawajui kama international airport na ikulu ya tanzania inajengwa dodoma, hawajui hata international stadium and the second biggest in africa inajengwa dodoma itakua na uwezo wakuchukua watu elfu 90
Sasa population ya Dodoma haifiki 100k unajenga stady ya 90k???? Misplaced priorities
 
Sasa population ya Dodoma haifiki 100k unajenga stady ya 90k???? Misplaced priorities
Ugua pole😀😀😀😀
IMG_1195.PNG
 
Wewe una macho kweli? Hujaona mwenzako aliweka picha ya greenpark estate ya athi river kuwa ni moja kati ya projects ya hiyo uyumbo? Na kila mara nyie ndo mnasema wakenya hupika data. nani mpika data sasa?
Si amekwambia kakosea na amerudia kupost pic za iyumbu dodoma inamaana hujaziona au😀😀😀😀
 
huna hoja toka day one ulivoingia hapa jf, acheni tabia ya kudharau wengine msiowajua usifkiri siku zinafanana😀😀 mtu mwenyewe umeingiai jf juzi unataka kujifanya mjuaji sana


Kuingia kwangu jf juzi si hoja. Shida ni kujifanya unajua wakati in the real sense hakuna unachojua hata moja. Either sikuingia huku ili nielimike. Kwani huku ni shule? Itakuwa jambo la busara sana tukukiwa na mature arguments si kukataa kila kila mtu anasema. kwa mfano, mwenzako aliniuliza maoni yangu kuhusu Dodoma nikasema ni mji mzuri japo haina mvuto tena nikasema kwamba Arusha inapendeza kushinda huko Dodoma. Mbona mimi mkenya na nikasifia Arusha? Kitu ambayo wewe najua huwezi fanya. kwako, kila kitu kitokacho kenya ni kibaya. Na kwa taarifa yako jf nijiunga mwezi wa sita baada ya kuifatilia toka last year December.
 
Kuingia kwangu jf juzi si hoja. Shida ni kujifanya unajua wakati in the real sense hakuna unachojua hata moja. Either sikuingia huku ili nielimike. Kwani huku ni shule? Itakuwa jambo la busara sana tukukiwa na mature arguments si kukataa kila kila mtu anasema. kwa mfano, mwenzako aliniuliza maoni yangu kuhusu Dodoma nikasema ni mji mzuri japo haina mvuto tena nikasema kwamba Arusha inapendeza kushinda huko Dodoma. Mbona mimi mkenya na nikasifia Arusha? Kitu ambayo wewe najua huwezi fanya. kwako, kila kitu kitokacho kenya ni kibaya. Na kwa taarifa yako jf nijiunga mwezi wa sita baada ya kuifatilia toka last year December.
arusha haiwez kua kwasababu dodoma ilipangwa muda sana na ndio maana wanaipeleka speed kuijenga labda nikutajie mambo ambayo kwa sasa yanajengwa na ujenzi ushaanza dodoma
1}uwanja mkubwa na wakisasa wa michezo ambao utakua wa pili kwa ukubwa barani africa, cost yake 100m usd
2}ikulu kubwa kabisa inajengwa dodoma na ujenzi ushaanza
3}project za nyumba za kisasa zinajengwa dodoma moja wapo ikiwa iyumbu
4}expansion ya airport dodoma imekamilika na sasa wanajenga international airport in dodoma etc
 
Back
Top Bottom