Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Hilo ni bunge la Tanzania
Tazama kwa makini picha nilioquote kwa reply. ni ya estate wala si ya bunge. najua jengo la bunge ya Tanzania inavyofanana. ukisha confirm uniambie
Hilo ni bunge la Tanzania
OK, nadhani nimeconfuse na mradi wa NHC - Iyumbu housing Dodoma,Tazama kwa makini picha nilioquote kwa reply. ni ya estate wala si ya bunge. najua jengo la bunge ya Tanzania inavyofanana. ukisha confirm uniambie
OK, nadhani nimeconfuse na mradi wa NHC - Iyumbu housing Dodoma,
Let's forget about that,
Na umeonaje hizo mambo nyingine za Dodoma,?
wanakuja watu kutoka ulaya kuja kusoma law na mambo mengine wewe unaongea nini??? na tatizo la wakenya wengi elimu hajawasaidia kutoka kwenye ujinga na ndio maana mwenzio nilimwambia unaeza kusoma na usielimike, tatizo lenu mlikariri sana kua ni ile tz ya 90s kumbe hamkujua nchi inajengwa kimya kimya ogopa sana nchi iliotokea kwenye ujamaa😀😀😀😀Huwezi ona cha maana kwa sababu ujamaa imekufunika macho. Kwa mambo ya elimu hata hufai kulingalisha nchi yako na kenya. we are worlds apart when it comes to matters education. Ndo maana hakuna hata siku moja utaona mkenya akija Tanzania kusoma.
wewe huna elimu ya kunifundisha mimi kwanza hilo ulitambue, unaniletea link au uchafu 😀😀😀😀Ni mara ngapi hapa watanzania wenzako wamesema vile elimu ya Kenya haijasaidia wakenya? acha maswali mingi...labda umweleze mwenzako ichoboy jinsi ya kufanya mjadala kwa sababu yeye anapinga hoja bila kuleta convincing arguments. mwishowe anaitisha link akipewa anayadharau. pitia pages za zuma utaelewa. wakati swala la kidney transplant ilipochipuka
na unatakiwa uelewe dodoma ndio inajengeka sasa hvi kwasababu serekali yote imeshaanza kuhamia dodoma na sasa ikulu inajengwa dodoma na dar itabaki kama mji wa kibishara afrika masharikiNapenda watu kama wewe ambao wanakubali kosa. Dodoma ni mji nzuri sana ila haina mvuto kama jiji kuu. kwangu binafsi ni mji wa kawaida sana japo naona inazidi kuinuka. nadhani Arusha panapendeza kulika Dodoma. maoni yangu hayo
huyo usimlaumu hana tofaut na mwenzie collo mzee akili zao ni za baba mmoja😀😀😀😀😀😀😀Sasa wewe umesoma usha fanya nini na kikatambulika World wide au umesoma ili kuendana na hali mliyo pangiwa na mzungu acha kujisifu upumbavu hakuna nchi ambayo akuna wasomi na sisi watanzania sio wapumbavu kama nyio huko kenya huku kila mtu ana ulelewa wa amboyo hata huko hamyajui
Alaf hawajui kama dodoma inajengwa kimya kimya yani hawajui kama international airport na ikulu ya tanzania inajengwa dodoma, hawajui hata international stadium and the second biggest in africa inajengwa dodoma itakua na uwezo wakuchukua watu elfu 90Dodoma ..Iyumbu Housing Project
![]()
![]()
Wajinga wanaingia kwenye mitandao wanagugo picha za miaka ya 1990 kujifariji.Alaf hawajui kama dodoma inajengwa kimya kimya yani hawajui kama international airport na ikulu ya tanzania inajengwa dodoma, hawajui hata international stadium and the second biggest in africa inajengwa dodoma itakua na uwezo wakuchukua watu elfu 90
Hiyo picha yenye green ikoNairobi
![]()
sindio maana hua nawaambia hii sio ile tz ya 90s😀😀😀😀😀😀😀Wajinga wanaingia kwenye mitandao wanagugo picha za miaka ya 1990 kujifariji.
Watakwambia old CBD😀😀😀😀Hiyo picha yenye green iko
But hii hapa big NO.
So much dirty city.
Yaani cbd pamechoka mbaya. Majengo ya Kizamani yamechakaa mnoWatakwambia old CBD😀😀😀😀
render poa lakini actual nyumba zimechakaaAlaf hawajui kama dodoma inajengwa kimya kimya yani hawajui kama international airport na ikulu ya tanzania inajengwa dodoma, hawajui hata international stadium and the second biggest in africa inajengwa dodoma itakua na uwezo wakuchukua watu elfu 90