KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,820
Wakenya hela zinawaisha tu
Wewe na mimi tunajua vizuri kama kitu huwezi linganisha nchi zetu mbili ni mambo ya elimu... Kenya got their first neurosurgeons, mathematics professors, scientists, pilots, lawyers etc very early and as of now there are many and we have advanced in terms of Education ....Niletee official link nasubiria
Hahahaha, Kenyans ni Kituko kwenye uso wa Dunia.ndio...jengo pamoja na mnara...second baada ya Carlton ya Afrika Kusini
Hvi ndugu wewe uko serious kweli????😀😀😀
10 pics same building😛😀itakuwa wewe ni mwendawazimu haswa....huo mnara wa Britam sio wa communication ya aina yoyote...huo mnara ni wa aesthetics...bas tena nikuulize nchi ya Kiafrika iliyo na fastest internet ni gani? nitakusaidia, Kenya has the fastest internet in Africa..best telephone network..
View attachment 638533 View attachment 638534
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Usiwe mjinga basi😀😀😀 usifkiri wasomi tanzania hakuna na nakupa siri iogope sana nchi iliotokea kwenye ujamaa ni hatari, huwez sikia history yake, mfano leo angalia north korea inavosumbua dunia lakin nani alijua technology ya n.korea imefika mbali kias hicho, usinipe maelezo mengi alaf ni nonsenseWewe na mimi tunajua vizuri kama kitu huwezi linganisha nchi zetu mbili ni mambo ya elimu... Kenya got their first neurosurgeons, mathematics professors, scientists, pilots, lawyers etc very early and as of now there are many and we have advanced in terms of Education ....
Coming to your question, you are not Kenyan because if you were, you would have heard about the Awuori family
Which is one of the most successful family in Kenya, sons and daughters of a man who founded more than 100 churches in western Kenya.
The Awuoris are 15 siblings who each and every one of them can feature in a special wikipedia, just Google them, the most popular of coarse being uncle Moody Awuori who was a Vice president in Kenya.
So let me bring you to light with the Awuori brothers and sisters but you can Google them each individually, they have all achieved major breakthroughs.
Joshua Awori: Long-serving HR practitioner who died in 2012.
WWW Awori: Wycliffe Works Wasia was a pioneering trade unionist, editor and politician.
Rhoda Awori Ouya: Teacher, agriculturist, lay leader.
‘Uncle’ Moody Awori: One-time Kenya’s vice president, MP, senior exec and successful businessman.
Hannington Awori: Corporate warrior nicknamed ‘King of the Boardroom’ died in 2010.
Winfred Odera: Career caterer and successful catering college owner.
Margaret Openda: Career educator and former matron at Siriba Teachers College.
Prof Nelson Awori: Carried out Africa’s first kidney transplant at Nairobi Hospital in 1978. He died in 1986 in a car accident. The Prof Nelson Awori Centre in Upper Hill stands in his honour.
Ernest Awori: The MIT alumnus oiled his father’s motorbike and tinkered with the old man’s Buick as a child. He later became a notable engineer.
Aggrey Awori: He was the first Harvard student to win the long jump, hurdle and 60-yard dash simultaneously while studying economics. An Olympian for Uganda (which Jeremiah Awori loved to bits and where his sister Ellen Peres Awori was also a citizen), came third in the 2001 presidential elections.
Grace Wakhugu: Business manager, road contractor and mother to CS Prof Judi Wakhugu, an eminent geologist.
Dr Mary Okello: Kenya’s first woman bank manager and founder of Makini Schools.
Christine Hayanga: a lawyer married to Justice Andrew Hayanga.
Henry Awori: One-time Kenya’s Commissioner of Insurance.
Willis Awori: HR Director, ICIPE.
Sijaona kitu cha maana hapo umenionesha😀😀erepository.uonbi.ac.ke/handle/11295/27945?show=full
www.nation.co.ke/news/1056-841708-ijg5uwz/index.html
I hope hizo zitakusaidia
Akili huna wewe usizoee kukariri kila siku😀😀The first photo is dar...why are you losing so early
Ule mnara kwao ni floor pia😀😀😀😀😀Eti britam tower is Africas second tallest sijui hadi ule mnara nao ni floor
😀😀😀😀😀 Nonsensendio...jengo pamoja na mnara...second baada ya Carlton ya Afrika Kusini
Good morning poor Kenyan,Huwa nacheka sana nikiona hizi picha za "capital city".Enyewe mdanganyika ni mdanganyika tu