Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

arusha haiwez kua kwasababu dodoma ilipangwa muda sana na ndio maana wanaipeleka speed kuijenga labda nikutajie mambo ambayo kwa sasa yanajengwa na ujenzi ushaanza dodoma
1}uwanja mkubwa na wakisasa wa michezo ambao utakua wa pili kwa ukubwa barani africa, cost yake 100m usd
2}ikulu kubwa kabisa inajengwa dodoma na ujenzi ushaanza
3}project za nyumba za kisasa zinajengwa dodoma moja wapo ikiwa iyumbu
4}expansion ya airport dodoma imekamilika na sasa wanajenga international airport in dodoma etc

Hapo sasa unaongea coz at least you have backed up your argument so next time usidharau hoja ya mtu kwa kutumia lugha kama 'uchafu' 'ujinga' nk jinsi wewe huwa unafanya. Si jambo la busara kuita hoja ya mtu ujinga wakati alietoa hiyo hoja hata humjui. Tuwe na mashindano ya ustaarabu
 
Garissa iko juu tuanze Dodoma vs wajir/isiolo
Dodoma
IMG_20171127_060204_120.JPG
 
Hapo sasa unaongea coz at least you have backed up your argument so next time usidharau hoja ya mtu kwa kutumia lugha kama 'uchafu' 'ujinga' nk jinsi wewe huwa unafanya. Si jambo la busara kuita hoja ya mtu ujinga wakati alietoa hiyo hoja hata humjui. Tuwe na mashindano ya ustaarabu
tatizo lako wewe huoni comment za wakenya wenzio wanajibu majibu yakishenzi na mpaka matusi
 
Back
Top Bottom