ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,482
- 88,620
Kujeni mnunue shamba mfanye investments
Fyi the reasons why projects in Kenya are high, mostly its cause of land value
View: https://x.com/korirproperty/status/1755952564502204727?s=46
Drink coke na enjoy plz😁😁😁
Kaka ndicho nilichojaribu kumuelezea huyo jamaa hapo.
Tanzania kuendesha maisha ni rahisi sana aisee.
Ila Mkenya anachukulia maisha bora ni maghorofa na fly overs.
Mie siwazi mboga wala chakula na mifugo hiyo hiyo inaniingizia kipato.
Wakuje kigamboni niwauzie sato na sangara wa bwawa bei chee ng'ombe wa kilo 150+ ntawapa kwa laki nane tu.
Utasikia Wakunya wakijiita wao ni Wasomi sana wanajua kingereza 😆😆😆😆
Kibinyo kiko pale pale 👇👇👇
View: https://twitter.com/Kenyans/status/1757823266671243503?t=G85lZpZHmi1qmq4GLDZ7mQ&s=19
Tanzania inatawala Kenya kuanzia gas ya Rostam Hadi kwenye usafirishaji.This ranking is based on citizen's opinions, not abstracts. Sit down.🚮
The fact that you cannot transcribe the whole point proves what I’ve been talking about , Mayo! 😂Kweli we ni chizi kweli unataka kuona kuku airport.? Au uendeshe gari kwa high way uone kuku njiani (barabara ya airport hadi town ni industrial area and hopefully umeiona) ulitaraji kuona kuku .? Upite city center hadi kufika masaki (ulipost fikizia) uone kuku.? 🤣🤣🤣🤣 Wonders shall never end. Kweli we ni chizi wewe
Alitegemea kuona kuku wanatembeatembea nje masaki😄Kweli we ni chizi kweli unataka kuona kuku airport.? Au uendeshe gari kwa high way uone kuku njiani (barabara ya airport hadi town ni industrial area and hopefully umeiona) ulitaraji kuona kuku .? Upite city center hadi kufika masaki (ulipost fikizia) uone kuku.? 🤣🤣🤣🤣 Wonders shall never end. Kweli we ni chizi wewe
And with your population of 67million, that translates to 98% or what’s your logic thereAndika kwa Lugha ya Kikuyu. Hueleweki ulichoandika 🤣 🤣 🤣 mwaka 2021 Tanzania ilikuwa na kuku 100,000,000 +
Hutaki?
Umetoa boko tuliza kijambio hicho 🤣🤣🤣The fact that you cannot transcribe the whole point proves what I’ve been talking about , Mayo! 😂
Finally you have accepted reality. The sooner you accept, the sooner you start fixing those problems.Sasa mzee huoni hata hapo imeandikwa "Trafficked kids" 🤣🤣🤣🤣
What is child trafficking? Trafficking is where children and young people tricked, forced or persuaded to leave their homes and are moved or transported and then exploited, forced to work or sold.
Aaaah wapi ardhi ya Kenya ni ya Mama ngina tu and Coo.Juzi kati nilikuwa shamba nipost kuku humu nikawauliza ni bei gani huko Kibera hamkujibu leo hii unatutambia kuwa kula KFC ni utajiri mm nina hekta 12 za mkonge bila malipo yoyote serikalini bure kabisa na humo napanda mazao mchanganyiko watuonyeshe mamba ya
o wanayomiliki
🤣🤣🤣🤣🤣 .Alitegemea kuona kuku wanatembeatembea nje masaki😄