Huyu jamaa ananishangazaga sana.mimi nisha muignoe siku nyingi sihangaiki na hicho kiazi
Huyu jamaa ananishangazaga sana.mimi nisha muignoe siku nyingi sihangaiki na hicho kiazi
Kaka mbona kama mnachanganyana?na huyo rostam amekuwaje muiran mzee wakati ni mzaliwa wa tabora kama ilivyo mo itigi singida?
uchawa umemzidi mpaka anakuwa hatumii akili atapata teuzi asiwe na tabu kama ni teuzi anataka asiende kwa huo mwendo.Huyu jamaa ananishangazaga sana.
tulianzia kwenye citizeniship akawakataa kwetu sio raia basi na kwao nikamwambia hao somali sio wakenya karuka kimanga sasa nikawa namtega kama si asili basi na hao pa si asili akaruka tena yaani kwao wasomali ni raia na pia asili ni wakenya hii imeshiba ugali leo nahisi maana kwa upande wake kwetu anakataa ila kwao iko sawa.Kaka mbona kama mnachanganyana?
Mnazungumzia nativity or citizenship??
Maana kuna asili na kuna uraia.
Hasa hapo mnabishana nini??
Kama ni asili somali asili yao sio Kenya ni Somalia,Ethiopia,Djibout na Eritrea.
Kama uraia wapo raia wa kisomali ndani ya Kenya ila Somali sio kabila halisi la Kenya.
Huu ni upuuzi wa kinyang'au.Don't get this twisted. Kenyan (mkenya) is a nationality, just the same way Tanzanian(mtanzania) or ugandan. Somali or Arab, on the other hand, are races. Just the same way Kuna Arab Kenyans or European Kenyans Kuna pia Somali Kenyans.
Wewe unaongelea 'pure' Sukuma Arabs which is is laughable and stupid at the same time. Hivi, hujui kwamba intermarriage ikishanyafika between two different races, then there's nothing pure about the offsprings? Did you study biology in high school?
Wewe ni mjinga wa mwisho and I don't have any appoligies to make coz you truly are a stupid person
Insults don't change facts boy. Why am I even wasting my time with a dolt of your calibre. Have a good night will you.See how you are a fool.
That is a teaching/practical hospital.
THAT IS MLOGANZILA NOT MUHIMBILI.
Thank God umesema ukame, a natural occurance. But just to let you know, just Google the word'nyama choma' uone ni nchi gani itatajwa wa kwanza. Kenya is synonymous with nyama and you won't change that fact hata ulie machozi ya damumanina kwa mifugo gani inayokufa kwa ukame kila siku labda mle maua.
Anaenda kwa papa Francis? Papa Benedict XVI na John Paul II walikuwa hawana tatizo na mtu, huyu anasema waafrika ni wanafiki kwa kutokuwakubali mashoga. Kazi ipo.Hii ziara ya Vatican ni Royal tour ya kutosha👇👇
If someone calling you a fool, is not an insult is just a complimentInsults don't change facts boy. Why am I even wasting my time with a dolt of your calibre. Have a good night will you.
Tukiwapostia 350 billion investments munasema ni uongo, wacha tuwalishe na taarifa dhaifu.Wakenya hakika mmekuwa wanyonge sana. Tuongeze dose? Yaani kwa sasa mnaleta taarifa dhaifu sana. 😀 😀 😀
350b kutoka kwa Mama Ngina?Tukiwapostia 350 billion investments munasema ni uongo, wacha tuwalishe na taarifa dhaifu.
😂😂😂 We jamaa kweli ni chizi eti sijui nyama choma sijui vitu gani😂😂😂 hii mada mnairudisha tena eeh.? Haya tell us ni nyama kiasi gani mna export.?Thank God umesema ukame, a natural occurance. But just to let you know, just Google the word'nyama choma' uone ni nchi gani itatajwa wa kwanza. Kenya is synonymous with nyama and you won't change that fact hata ulie machozi ya damu