Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

New Airport Loading in Njombe 👇👇
Screenshot_20240207-084604.jpg
Screenshot_20240207-084622.jpg
 
FYI hizo zilipitwa na wakati..sikuizi vita ni smart bombs and drones..why should i send several unguided bomb to hit 1 single target while i can use 1 smart bomb to accurately hit the target..ndio maana Himars ina chafua russia..antii guided bombs ni technology ya kitambo..iraq wenyewe hawatambui hizo sikuizi ni smart bombs na drones..in war technology matters alot.
KWA UFALA WAKO UNADHANI TPDF HAWANA GUIDED MISSILE LAUNCH NA ROCKET LAUNCH??
Kila silaha ina namna yake ya kutumika we fala.
KUNA ARTILLERY SHELL YEYOTE AMBAYO NI GUIDED?
Mbona IDF Israel wanatumia asahivi huko Gaza??
Kila silaha ina sababu ya kutumika kwake kulingana na mbinu za kivita zilizowekwa.
Ingelikua hivyo basi mizinga isingetumika ,na mpaka sasa mizinga inatumika na mizinga ni unguided.
 
FYI hizo zilipitwa na wakati..sikuizi vita ni smart bombs and drones..why should i send several unguided bomb to hit 1 single target while i can use 1 smart bomb to accurately hit the target..ndio maana Himars ina chafua russia..antii guided bombs ni technology ya kitambo..iraq wenyewe hawatambui hizo sikuizi ni smart bombs na drones..in war technology matters alot.
Sifa moja ya mawimbi ni kufanya interference, hizo smart bomb zinakuwa kipofu zikipigiwa kelele nyingi (Jamming).
 
Back
Top Bottom