Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Another Dar

20240207_192733.jpg
 
Wakenya ni weupe sana kwenye military weapon.
unamletea assault rifle yeye analeta battle rifle.
Hajui hata tofauti yake.
Unamletea Mzinga yeye analeta Kifaru 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa jamaa wana akili kweli?
Tumeweka kifaru cha Type 96 tank wamekimbia kwenda kujificha.

Yaani unaingia kwenye operation ya Waste Gate unaingia na FN SCAR? kweli?
Hisi hapa tofauti zake mjifunze sasa:

While the assault rifle uses large magazines with smaller bullets to try and take out as many enemies as possible before dying, the battle rifle has smaller mags with larger bullets, only trying to win one fight at a time.
wewe ndiye huna habari. Kusema vitu na hujui. What does FN SCAR Stands for in full? Hata nimekuwekea na bado huwezi kusoma
IMG_8972.jpeg
 
wakunya bila aibu wanajimilikisha mali za mchina,
Huu uongo huwa mnawadanganya wasiowajua.
Sisi tunaowajua twajua fika kuwa kila kitu nairobi ni mali ya mchina, muhindi, msomali na baadhi ya familia za wanasiasa kina mama ngina,
1. sgr nzee with Jurassic Precambrian era firewood powered locomotives — mali halali ya mchina
2. Expressway - Mali ya mchina
3. Majengo - mali halali za mchina na familia za wanasiasa
4. Ardhi - uhuru kenyata
5. Biashara zote za retail - Wasomali
 

Attachments

  • 393EFB25-39DE-4396-9807-9994A744E08B.jpeg
    393EFB25-39DE-4396-9807-9994A744E08B.jpeg
    665.8 KB · Views: 8
Back
Top Bottom