Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Show me 3Tesla zote hizo ni 1.5. Ukipata 3.0 nitag.
Unataka nini nyingine?
2018 article.

IMG_4090.jpeg
 
Hospitali moja tu 😂 😂 😂 👇 👇 Hospitali ingine Kenya.

View attachment 2889990
Huna hoja umeishiwa 😂😂 mwanzo Uliomba kuonyeshwa Tesla MRI machine ukapiga kelele kwamba hatuna,ukaonyeshwa..ukadai ooh si 3 Tesla ukaonyeshwa tena hiyo 3 Tesla sahiv umekuja kwenye idadi 😂😂😂😂
 
Dodoma capital city lol....a screaming Isiolo.Tz govt is trying to pump money in it lakini wapi


View: https://youtu.be/568ekKd0-Nk?si=pg_4-CgW7IvvwO0j

Hahahaaaa unajitahidi kuichafua Dom lkn wapi, Dom ndiyo utakuwa the East African capital city mtake msitake, sisi watanzania ndiyo tunaakili kuliko kuliko viumbe vyote ukanda huu wa wapumbavu, kumbuka sisi watanzania ni wa South Afrika na sio wa East, that is why tunawasumbua sn nyinyi wa East, watu wa South tuna akili kuliko nyinyi wa East mliolaaniwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna nchi nzima ya over 60 million people ina MRI machines 13 pekee. 😂😂😂👇👇👇 Wakifika hii level hatutapumua.

Screenshot 2024-01-31 191311.jpg
 
Asante mkuu, laptop yangu haiwezi fungua unsecured links.Serikali yenu imejaa madwanzi, hawawezi lipia https. 😂 😂 😂 😂 Sasa nionyeshe MRI iko wapi hapo? naona CT Scan tu.
Eti laptop yake, sasa akikuonesha hiyo laptop yake utazimia, laptop ina mipira 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom