Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

medical tourism Wazambia wanapaswa waje JKCI! tuendelee kujishaua badala ya ku-strengthen our institutions!
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.

Pili Tanzania tumepindua meza,Kwa Sasa Nchi yetu ndio medical Tourist Centre ya EAC.

View: https://www.instagram.com/p/C17LLe3tmeO/?igsh=ZXZncTg0dGF0ZXFx

Hospital 6 zilihudimai zaidi ya wagonjwa wa Nje 6,000 vs 5,000 wa Kunyaland.
Screenshot_20240131-102033.jpg

Waliokuja kupata tiba miongoni mwao ni Wakunya
 
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.

Pili Tanzania tumepindua meza,Kwa Sasa Nchi yetu ndio medical Tourist Centre ya EAC.

View: https://www.instagram.com/p/C17LLe3tmeO/?igsh=ZXZncTg0dGF0ZXFx

Hospital 6 zilihudimai zaidi ya wagonjwa wa Nje 6,000 vs 5,000 wa Kunyaland.
View attachment 2889461
Waliokuja kupata tiba miongoni mwao ni Wakunya

Mbona kama habari inasema tofauti?
Hapa inasema Kenya inapata watalii wa kimatibabu kutoka maeneo mengine ya Afrika.
Halafu huu uongo.
Hawa tuliowasaidia dawa za TB leo hii wapokee watalii wa kimatibabu!?
 
Sasa wapi tunajishaua wakati Serikali inazidi kuwekeza sio tuu Kwa vifaa tiba Bali Kwa Wataalamu na miundombinu.

Pili Tanzania tumepindua meza,Kwa Sasa Nchi yetu ndio medical Tourist Centre ya EAC.

View: https://www.instagram.com/p/C17LLe3tmeO/?igsh=ZXZncTg0dGF0ZXFx

Hospital 6 zilihudimai zaidi ya wagonjwa wa Nje 6,000 vs 5,000 wa Kunyaland.
View attachment 2889461
Waliokuja kupata tiba miongoni mwao ni Wakunya

sidhani kama tunachofanya ni sahihi wizara ingekuwa na mikakati ya kufungua another JKCI Mbeya kwa ajili ya Wagonjwa wa Zambia na si kupeleka madaktari wetu huko let make use of our advantges to do medical business! Ni upuuzi kupeleka madaktari huko! Thats my humble opinion!
 
Asa mie najiuliza Kenya ekonomiki pawa hausi ov Isti Afrika wako wapi??
Na hii Hospitali kuu ya moyo ingekua kunyaland tusingepumua.
Kwa taarifa Yao tuu
-Muhimbili nyingine inajengwa Kigoma,Kwa Ajili ya DRC,Burundi na Rwanda.

-Udsm inajenga College pekee ya Afya Mbeya na Teaching Hospital Kwa Ajili ya Malawi,Zambia,DRC na Mozambique.

On top of that miundombinu ya MOI na Muhimbili Dar inazidi kuimarishwa
 
Kwa taarifa Yao tuu
-Muhimbili nyingine inajengwa Kigoma,Kwa Ajili ya DRC,Burundi na Rwanda.

-Udsm inajenga College pekee ya Afya Mbeya na Teaching Hospital Kwa Ajili ya Malawi,Zambia,DRC na Mozambique.

On top of that miundombinu ya MOI na Muhimbili Dar inazidi kuimarishwa
Mengine Chamazi inatarajiwa kujengwa.
Najua mwendo wetu wa taratibu ila hawatatukuta hawa.
 
sidhani kama tunachofanya ni sahihi wizara ingekuwa na mikakati ya kufungua another JKCI Mbeya kwa ajili ya Wagonjwa wa Zambia na si kupeleka madaktari wetu huko! Ni upuuzi! Thats my humble opinion!
Serikali Haina haja ya kufungua JKCI Mbeya badala yake Ni kuiwesesha Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya Kwa Utaalamu na vifaa tiba.

Nachofahamu Wizara inaendelea na Ujenzi wa Jengo la Magonjwa ya Moyo Hospital ya Kanda Mbeya Kwa minajili hiyo hiyo unayoisemea.

On top of that Udsm wanajenga College pekee kubwa ya Afya Mbeya plus Teaching Hospital.Kwa Sasa Chuo kipo ila kinatumia majengo ya Dental Clinic pale Rufaa Mbeya but soon wanaanza ujenzi wa Eneo lao Tanganyika Packers Mbalizi Kwa minajiri hiyo hiyo.

Na mwisho Muhimbili wanafungua Chuo Kipya Kigoma kutakuwa ni Chuo na Hospital too just to ads kwenye ujenzi wa hospital ya Kanda ya Magharibi.
 
Katika afya,usafiri,elimu,chakula na maji Tanzania siidai kitu.
Hizo sehem zinahitaji mkazo tu ila tumepiga hatua kubwa sanaaa.
Mkuu kwenye usafiri Bado sana ila tumesogea.Tzn still mapori sana maeneo mengi hayajafunguka Kwa lami.

Tuna Mikoa Mingi sana Bado haijaungamishwa na lami japo ujenzi unaendelea but sijaridhika nao Kwa sababu hatujengi kimkakati Bali tunatapanya Rasilimali Kisasa yaani Kila sehemu ionekane Kuna kazi inaendelea Sasa hii Hali haileti Ufanisi mzuri na ni time consuming
 
Back
Top Bottom