Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wabongo mnakuwa wajinga sana. Ule milo Kumi ndio nini? Yani hapo mnafikiria Kula tu and only affordability stops you from eating? It's unhealthy to overeat. 3 meals are more than enough and occassionally you have to do two.
Katika maisha three needs are basically.
Food ,shelter and clothes.
Na hivyo ni rahisi sana kufanya katika hayo maeneo mnayodai kuna mashamba ya mihogo.
Makazi nafuu,chakula nafuu hata mavazi nafuu na huduma zingine za kijamii kama hospitali ,usafiri na shule zimeunganishwa kwa wingi.
 
Kiambu county na kiambu town tofaut ni nn??🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ikiwa kutoka CBD mpaka kiambu ni 16km sawa na kutoka dar CBD mpaka mwenge sasa wewe unashangaa nn 😅😅😅😅

View attachment 2889198
Huyu Jamaa ni chizi Sana ,unadhani Nairobi mwanzo wake ni CBD,,pima kuanzia Ngong to Kiambu uone ni km ngapi
 
Tunaongelea distance from CBD, Sio boundaries.
Nilishampa maelezo jamaa yako.
Maeneo alotaja hususan Vikindu hayakukua kimakazi miaka hii ndio yameanza kukaliwa na watu,wengi wao ni wakazi wa Dar hutanua makazi nje ya mji.
Tegemea hapo kukua sana maana Kigamboni ilikua hivyo hivyo ila sasahivi kuna mansions kila kona.
 
Watakuambia Dar ni kubwa, Leo hii wanajataa 20km from CBD sii Dar.🤣🤣s
Sawa sie tuna mashamba ya mihogo.
Ila Dah!!
Hii ndio kituo cha mabasi cha Kiambu????!!!!!!!
Embu tizama picha ya pili kituo cha mabasi cha KIBAHA unachosema kuna mashamba ya mihogo.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-31-08-11-21-99_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-11-21-99_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    62.4 KB · Views: 16
  • Screenshot_2024-01-31-08-10-25-68_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-10-25-68_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    47.5 KB · Views: 11

Attachments

  • Screenshot_2024-01-31-08-18-28-95_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-18-28-95_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    113.4 KB · Views: 13
  • Screenshot_2024-01-31-08-21-20-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-21-20-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    52.4 KB · Views: 14

Attachments

  • Screenshot_2024-01-31-08-29-14-30_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-29-14-30_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    57.5 KB · Views: 13
  • Screenshot_2024-01-31-08-26-43-33_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-26-43-33_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    53.3 KB · Views: 16
Dar is a slum imezungukwa na vijiji na mashamba za mihogo, Kimara 16km from CBD ni kijiji na mashamba ya mihogo. Kibaha 35km from CBD ni kijiji imezungukwa na mashamba za mihogo. Major cities in the world have a continuous urban area joining cities or towns surrounding them forming a super city. Dar is a slum imezungukwa na mashamba za mihogo. 😂😂😂😂

Nionyeshe any town like this 40km from Dar is slum CBD nifunge account.


View: https://www.youtube.com/watch?v=T_1-upGTCLI

Tuje kwa soko.
Hilo soko jipyaaaaa la Kibaha la sasa.
Compare and contrast na Soko la kiambu.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-01-31-08-34-30-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-34-30-56_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    54.4 KB · Views: 9
  • Screenshot_2024-01-31-08-36-07-03_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-01-31-08-36-07-03_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    82.7 KB · Views: 8
Imagine kunyan ndio wangekua wanamiliki bus terminal kama ya magufuli,nyegezn na ile ya dom,halafu brt ndio ingekua kwao,wallah humu na africa nzima kusingekalika
Weeeh!Weeeeh!Weeeeh!
Kusingekalika viti vingekua vyamoto na vitanda vingekua na misumari.
Hilo daraja tu la Kigamboni mpaka wakawa wanapost wanadai lipo Kenya.
Famasiala nini bro.
 
Nilishampa maelezo jamaa yako.
Maeneo alotaja hususan Vikindu hayakukua kimakazi miaka hii ndio yameanza kukaliwa na watu,wengi wao ni wakazi wa Dar hutanua makazi nje ya mji.
Tegemea hapo kukua sana maana Kigamboni ilikua hivyo hivyo ila sasahivi kuna mansions kila kona.
In short, Dar ni mji Mdogo Sana kama 20km from CBD ndio kumeanza kupata makazi.
 
In short, Dar ni mji Mdogo Sana kama 20km from CBD ndio kumeanza kupata makazi.
Unaposema hivyo hauko sahihi.
Kutoka CBD kuja pwani ni kilometa chache .
Huko ni nje ya mji ni mkoa wa pwani sio ndani ya Dar.
Mbona kutoka CBD kwenda Kinondoni kilometa nyingi na kumeendelea?
Kauli yako hairandani na huo mnajili.
 
Back
Top Bottom