chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Naislum looks more like Turkanathis overrated isiolo mnajaribu lakini wapi.....looks so villagish
Naislum looks more like Turkanathis overrated isiolo mnajaribu lakini wapi.....looks so villagish
ndioo mkuu and they don’t care!😎😎Hivi Kuna serikali kweli huku?
Mombasa gates bridge construction finally is set to begin....hii ikijengwa Mombasa itafunika dar kwenye infrastructure..
View attachment 2888365
View: https://www.youtube.com/watch?v=9Cc04nM68A8&t=152s
Hio probox naiona hapo ni ya mwaka gan?🤣🤣
View: https://twitter.com/MithamoPierre/status/1431880893627609091?t=BlNl073KZcKNeULLvsb3gg&s=19
Fuvu utasema leyland embassy🤣🤣🤣
Mombasa gates bridge construction finally is set to begin....hii ikijengwa Mombasa itafunika dar kwenye infrastructure..
View attachment 2888365
View: https://www.youtube.com/watch?v=9Cc04nM68A8&t=152s
Mbona kashakojoa tayar 😅😅😅😅😅😂😂😂 Amka utakojoa. 😂😂😂😂
Hio hiace imetemgezwa kabla baba yake hajajua kufungua zipu ya suruali😅😅😅😅😅Muulize na ile Hiace kule mwisho ya mwaka gani?
Renovation of Kariakoo ni mwendo wa demolition old structures and building new ones. Hii inafanywa na private sector. 1/2/2024 mzigo unaanza. Ujenzi wa high rise buildings DAR umerejea katika hali yake 👇
View: https://youtu.be/QVnzUddV_Z8?si=R3ssOogN4zGtSpuk.
Wanasema ni ya kwao 🤣🤣🤣🤣Tahmeed si kampuni ya Tz hiyo?
Ebhn jamaa ile gari aliyoonesha mkuu ni imechoka hakuna mfano na I'm 100% sure ile gari sio yake, lkn hata ikiwa yake ni aibu kwa mtumbua mishipa kama yeye kumiliki gari nzee vile, that means mishahara kenya bado ipo chini sana, kwa mtumishi wa umma na mtumbua mishipa kama yeye huku bongo hawezi kuwa na gari kama ile ukweli usemwe.Ile gari yako uliopost ulinunua mpya? Kenya kuna magari mabovu Tz hayawezi kuruhusiwa kutembea.
lol....uswazi villagesMh hii Tanzania inaendelea kwa speed ya light haki ya mama, tunafanya mambo makubwa kwa wakati mmoja hawa vibera wakija kustuka tuko mbali alafu sana.
Nilishangaa hata mm kaka eti jamaa anakuambia ile nyumba aliyopost chongchung ni nyumba ya tajiri, daah nikastuka sana alafu ni mtu anajifanya yuko vizuri financially, wallahi nawaambia hawa wakenya ni fukara sana kaka.Matajiri waringe? Hawa nimeishi nao sehemu kadhaa, wana njaa mbaya sana. Usione hawa keyboard warriors humu kila mmoja anajidai matawi. Mmoja nimeona anasema ile nyumba ya mbagala ni ya mtu mwenye pesa! Ndio ujue level zao.
Chuma kama chuma, baba wa Tanzania mpya.
hebu acha kiherehere bus station yetu bado iko kwa render stage😎ikiisha itakua one of its kind in Africa, itakua na electric terminus, massage rooms na itakua locally made unlike chenye mko nacho,penye haiwezi tufikia ya chinese made I swear kama haita kuwa last launched soon nitakula githeri wiki nzima 😎mark my word😎kenya ndo sisi kusema 😄😄😄😄
Ona green ilivyokolea, wakenya bado wanakyambia nchi yao ni semi arid na kwamba haiwezi kuwa green hata iweje, sisi tayari tushaifanya Dodoma ya kijani, sisi ndiyo china ya EA hawa wazembe waache waendelee kuzubaa zubaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii lugha gani?hebu acha kiherehere bus station yetu bado iko kwa render stage😎ikiisha itakua one of its kind in Africa, itakua na electric terminus, massage rooms na itakua locally made unlike chenye mko nacho,penye haiwezi tufikia ya chinese made I swear kama haita kuwa last launched soon nitakula githeri wiki nzima 😎mark my word😎kenya ndo sisi kusema 😄😄😄😄
Nilitaka nikuulize wewe hili swali kuhusu progress ya mashujaa monumement mana mpaka sasa itakuwa iko mbali sana.Mji msafii well planned, barabara Pana, pedestrian Walk ways Pana, cyclists lanes pana, ikijazwa gorofa itapendeza zaidi... I also would like to see the construction progress of mashujaa monument.. hakuna picha yoyote enye umeona, please share with us.
Unachekesha sana 🤓🤓🤓🤓hawa maskini wa tz wanajiforce kuwa level same na Kenya lakini wapi....though its good wasting time with them on this stupid page of theirs to console them.