Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zaidi ya Boat 500 zimegawiwa na vizimba zaidi ya 1000 vimegawiwa. Kizimba kimoja kinaweza kutoa zaidi ya tani 10 za samaki. Hapa ni Ziwa Victoria leo Rais amezindua.
Tanzania Oyee!!! Kenya Zerooooo!!!

1706605919123.png


1706605934971.png


1706605948359.png
 
Zaidi ya Boat 500 zimegawiwa na vizimba zaidi ya 1000 vimegawiwa. Kizimba kimoja kinaweza kutoa zaidi ya tani 10 za samaki. Hapa ni Ziwa Victoria leo Rais amezindua.
Tanzania Oyee!!! Kenya Zerooooo!!!

View attachment 2888348

View attachment 2888349

View attachment 2888350
Tz ni taifa smart sana. Definition ya maendeleo huko north ni only flyover and some few high rise apartments. 😂😂😂😂. Ukiwa ni mfuatiliaji mzuri wa maongezi utakuta hivyo ndio vitu pekee vyenye wanajisifu navyo. 😂😂😂 Kwenye sector ya uzalishaji humo hawafanyi chochote and they're far behind us. Sisi tumefanya makubwa mpaka tunaingia kwenye Top 20 za dunia kwenye bidhaa tofauti tofauti za kilimo.. kubishana na vilaza ni kujishushia heshima sana
 
Mji wa Serikali Dodoma (Magufuli City)

View attachment 2888353
Mji msafii well planned, barabara Pana, pedestrian Walk ways Pana, cyclists lanes pana, ikijazwa gorofa itapendeza zaidi... I also would like to see the construction progress of mashujaa monument.. hakuna picha yoyote enye umeona, please share with us.
 
Back
Top Bottom