Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So unakua hauko nairobi uko kiambu so kwa lugha fupi tuseme nairobi ni ndogo sana inaingia mara tatu kwa dar is that fine🤣🤣🤣
Kwa lugha fupi Nairobi is wealthier than Dar is Slum three times🤣🤣🤣😂.

And today we have learnt that majority of Dar is slum ni tu shamba za miogo😂😂
 
That should tell you that Kenya is developed everywhere. Tell me anywhere in Tanzania outside Dar is Slum that can compete with Kajiado County(Kitengela)
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Developed in what?? Ikiwa ndoto ya kila mkenya ni kuishi nairobi
 
hii ni stand ya vifod ama bus kubwa kuweni serious wazee mmeona ile ya mwenge ile ni ya daladala ama huko kwenu mnaita shuttle
Kwani zitakuwa zinafanya kazi tofauti? Mlikuwa mnakesha hapa mkiulizia bus stand za Kenya and there they are. Ama mlikuwa mnadhani haziko?🤣🤣😂
 
Kuna washamba hii Dunia kuliko watanzania?😂😂
Hamna m TZ mshamba,ndio maana tunawaburuza huko kunyan,diamond aliingia naipori kwa chopa akafanya show nusu saa odinga pesa aliyomlipa hakuna ataweza kumlipa mkunya hata amfanyie show kama ile mwaka mzima,but mjanja toka bongoland kajipigia ile pesa within half an hour
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Developed in what?? Ikiwa ndoto ya kila mkenya ni kuishi nairobi
Maybe ndoto ya watanzania. Starting with your President who thinks Nairobi is London 😂😂😂
 
Westlands is on steroids. This tower will get completed before Mzizima Tower that started in 2013😂.

With completion of this twin tower, Westlands will now have 8 buildings of 30 floors above. That will be more than total number of buildings with 30 floors in Tanzania as a whole.
no water nairobi.png
 
Yes Nairobi imezungukwa na urban towns on a 50 km radius. Dar imezungukwa na vijiji na mashamba za mihogo.

Kwa mfano, hii hapa ni kijiji cha kibaha. 👇 👇


View: https://www.youtube.com/watch?v=NdsOiQmfH_I

Hebu ntajie kijiji ambacho kipo ndani ya dar kimoja tu nasubiri hapa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Tulipokua tunawaambia dar ni kubwa mara tatu ya nairobi mulikua hamuamini au
 
Maybe ndoto ya watanzania. Starting with your President who thinks Nairobi is London 😂😂😂
President gani ambaye alifkiri hvo nitajie jina lake na ulete ushahidi kamili ili nifunge acc sasa hvi 😅😅😅😅😅😅

Unaleta zile propaganda zenu za chooni mlizokua munadanganywa na moi 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom