Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa naona unabisha just for the heck of it.
Tuiombee Taifa Stars leo ili tuwafunge kidomo domo jirani.
Punguza portion ya ujinga kichwani
Screenshot_20240124-190544.jpg
 
Chakula mnawagawia Bure? Kama mnachukua pesa zao Kwa nini umeme wawalipe?

Punguza portion ya ujinga kichwani View attachment 2881766
Usimamizi wa mapato ndio kuchukua mapato na kuondoka nayo?
Hao ni wasimamizi tu wa mapato ila hayo mapato hayaondoki kuja Tanzania bara.
Hubaki ofisi za hukohuko Visiwani ila wasimamizi moja wapo wakiwa TRA.
Ingekua tunaondoka na pesa zao hizo bajeti wangepitishaje aisee!!
 
Usimamizi wa mapato ndio kuchukua mapato na kuondoka nayo?
Hao ni wasimamizi tu wa mapato ila hayo mapato hayaondoki kuja Tanzania bara.
Hubaki ofisi za hukohuko Visiwani ila wasimamizi moja wapo wakiwa TRA.
Ingekua tunaondoka na pesa zao hizo bajeti wangepitishaje aisee!!
Acha ujinga basi,pesa zote za TRA zinaingia Mfuko Mkuu wa Serikali na kama Zenj watahitaji ni kwenye miradi ya Wizara za Kitaifa na sio vinginevyo
 
Back
Top Bottom