Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Pesa ya viwanja vya mpira ndio itatoka hapa

Screenshot_20240121-202934.jpg
 
Umeona ruuf tunayoongelea, na umeona ruuf ya inayooneshwa kwenye terminal II. Umeshatimba kwenye airport ngapi ulimwenguni, tuanze hapo labda kama huoni nachokisema? 😂 😂 😂

Gezaligi😂😂
Wacha ufala kila airport ina design yake! Nyingine zina canopy roof nyingine high raised nyingine carport n.k. Huwezi ukawa unataka kila kitu unachotaka!
 
hebu mention them! CBK Tower je? KCB Bank je? Kenya teleposta tower je? KICC Tower je? Even Hilton Hotel ni GoK owned!
Kwa hizo buildings ni ngapi ziko Top 10 in Kenya? Do you even know the top 10 tallest buildings in Kenya?
 
hebu mention them! CBK Tower je? KCB Bank je? Kenya teleposta tower je? KICC Tower je? Even Hilton Hotel ni GoK owned!
Britam - 200m
GTC Office Tower - 184m
88 Nairobi - 176m
UAP Tower - 163m
GTC Hotel Tower - 143m
Times Tower - 140m
Prism Tower - 135m
GTC Reidential 1 - 133m
Le Mac 126m

Ukitoa Times Tower, unaona wapi hapo nyumba ya serikali?
 
Britam - 200m
GTC Office Tower - 184m
88 Nairobi - 176m
UAP Tower - 163m
GTC Hotel Tower - 143m
Times Tower - 140m
Prism Tower - 135m
GTC Reidential 1 - 133m
Le Mac 126m

Ukitoa Times Tower, unaona wapi hapo nyumba ya serikali?
Britam nusu ya jengo ni mnara au sio😅😅
 
Britam - 200m
GTC Office Tower - 184m
88 Nairobi - 176m
UAP Tower - 163m
GTC Hotel Tower - 143m
Times Tower - 140m
Prism Tower - 135m
GTC Reidential 1 - 133m
Le Mac 126m

Ukitoa Times Tower, unaona wapi hapo nyumba ya serikali?
Umesema 10! Hizo ukitoa Times Tower ni 8!
 
Lia ukitaka. Hio ndio tallest building in E. Africa. 7th tallest in Africa. Last I checked, Tangawizi had no building among the top 10 tallest buildings in Africa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

31 floors alaf 200m alaf nusu ya jengo ni mnara alooo🙌🙌🙌🙌

Ilimradi muwe wajanja wajanja tu
 
Back
Top Bottom