ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Sasa kiherehere huwa ya nini kila Mara mnarudi kunyoosha mikono?Kazi imeisha asubuhi na mapema tuu. TCAA sijui walikamata kende na vice ama waliweka mbu 🤣🤣🤣🤣
![]()
Tanzania, Kenya resolve air travel restrictions dispute - Daily News
DAR ES SALAAM/NAIROBI: Tanzania and Kenya have reached an agreement that the recently imposed restrictions on air travel should not stand. According to Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, January Makamba's post on X (formerly Twitter), the two East African...dailynews.co.tz
bado kq wa favor kubwa huku TZ,wanatua dar mara 2 hadi 3 kwa siku,wanatua KIA na ZNZ,wanatua zaidi TZ hata huko kwao,juzi jmosi kicargo chao pia kilikua dar,kwenye hayo mazungumzo wangeangalia yote na ukifikiwa muafaka wapunguziwe hizo route kulinda maslahi ATCLKazi imeisha asubuhi na mapema tuu. TCAA sijui walikamata kende na vice ama waliweka mbu 🤣🤣🤣🤣
![]()
Tanzania, Kenya resolve air travel restrictions dispute - Daily News
DAR ES SALAAM/NAIROBI: Tanzania and Kenya have reached an agreement that the recently imposed restrictions on air travel should not stand. According to Tanzania’s Minister of Foreign Affairs and East African Cooperation, January Makamba's post on X (formerly Twitter), the two East African...dailynews.co.tz
Yan sisi ndio tunyooshe mikono kweli,hapo ulipo jipige jipige kifuani kwa kujitapa na kuukubali ubwege wakoSasa kiherehere huwa ya nini kila Mara mnarudi kunyoosha mikono?
Kama the problem has been solved Na Ni nyinyi mlianzisha hiyo sii kunyoosha mikono?😂😂Yan sisi ndio tunyooshe mikono kweli,hapo ulipo jipige jipige kifuani kwa kujitapa na kuukubali ubwege wako
mlipokataa cargo yetu kutua tukafungia scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact vile kutokana na roho mbaya zenu baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadi akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenuKama the problem has been solved Na Ni nyinyi mlianzisha hiyo sii kunyoosha mikono?😂😂
Sijakebehi najaribu kuonyesha jinsi corrupt leaders wanakua baada ya kustaafuMgombea binafsi ni jambo Zuri sana wala usimkebehi kwa hiyo hoja
Huwa hamna diplomacy. Mnapenda kupiga kelele ndio msikike mababe. Mambo ya kutoelewana yapo Sana kwa biashara Ila nyie likitokea jambo kama hilo mnapiga kelele jinsi mlivyodeal nalo halafu mnarudi kukubaliana. Hiyo contract hamjui nini kipo ndani na hata mkijua hamtoelewa maanake nyie Sio experts Ila government yenu kawaida inaona fursa ya kujionyesha kwa wananchi wajing jinsi ilivyo babe. Mnakuwanga na ufala Sana Na hizo loud declarations zenu.mlipokataa cargo yetu kutua tukafungua scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact kutokana na roho mbaya baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadai akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP muhongo akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenu
Wabongo tumewazoea na hii tabia yenu ya kulialia kila mara. Hakuna vile tutawapea 5th freedom of air yet sisi ndio tulia apply wa kwanza back in 2021 na mukatuweka pending till date. Nyinyi munataka the same 5th freedom of air bila reciprocity. Hio hatuwezi kubali.mlipokataa cargo yetu kutua tukafungua scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact kutokana na roho mbaya baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadai akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP muhongo akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenu
Kama kawaida they haven't read the MOU, wanakuanga bongolala sana, chochote their government says wanaamini ni ukweli. Hio 5th freedom of air right hawaipati untill ours is reciprocated. It's that simple.Huwa hamna diplomacy. Mnapenda kupiga kelele ndio msikike mababe. Mambo ya kutoelewana yapo Sana kwa biashara Ila nyie likitokea jambo kama hilo mnapiga kelele jinsi mlivyodeal nalo halafu mnarudi kukubaliana. Hiyo contract hamjui nini kipo ndani na hata mkijua hamtoelewa maanake nyie Sio experts Ila government yenu kawaida inaona fursa ya kujionyesha kwa wananchi wajing jinsi ilivyo babe. Mnakuwanga na ufala Sana Na hizo loud declarations zenu.
hatuna tunachokipata hukokwenu,kwenye hili nyie ndie mtakaeumia imagine per week kq ina route zaidi ya 20 ndani ya TZ while ATCL huko kwenu route zake azifiki hata 10,halafu kama hamna cha maana mnachokipata huku mngekula kimya baada ya hii banWabongo tumewazoea na hii tabia yenu ya kulialia kila mara. Hakuna vile tutawapea 5th freedom of air yet sisi ndio tulia apply wa kwanza back in 2021 na mukatuweka pending till date. Nyinyi munataka the same 5th freedom of air bila reciprocity. Hio hatuwezi kubali.
Kama kawaida they haven't read the MOU, wanakuanga bongolala sana, chochote their government says wanaamini ni ukweli. Hio 5th freedom of air right hawaipati untill ours is reciprocated. It's that simple.