Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kazi imeisha asubuhi na mapema tuu. TCAA sijui walikamata kende na vice ama waliweka mbu 🤣🤣🤣🤣
 
View of Upperhill from Nairobi South. Notice the number of green nets on the right side.
IMG_20240116_122936_971.jpg
 
Kazi imeisha asubuhi na mapema tuu. TCAA sijui walikamata kende na vice ama waliweka mbu 🤣🤣🤣🤣
Sasa kiherehere huwa ya nini kila Mara mnarudi kunyoosha mikono?
 
Kazi imeisha asubuhi na mapema tuu. TCAA sijui walikamata kende na vice ama waliweka mbu 🤣🤣🤣🤣
bado kq wa favor kubwa huku TZ,wanatua dar mara 2 hadi 3 kwa siku,wanatua KIA na ZNZ,wanatua zaidi TZ hata huko kwao,juzi jmosi kicargo chao pia kilikua dar,kwenye hayo mazungumzo wangeangalia yote na ukifikiwa muafaka wapunguziwe hizo route kulinda maslahi ATCL
 
Kama the problem has been solved Na Ni nyinyi mlianzisha hiyo sii kunyoosha mikono?😂😂
mlipokataa cargo yetu kutua tukafungia scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact vile kutokana na roho mbaya zenu baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadi akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenu
 
mlipokataa cargo yetu kutua tukafungua scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact kutokana na roho mbaya baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadai akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP muhongo akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenu
Huwa hamna diplomacy. Mnapenda kupiga kelele ndio msikike mababe. Mambo ya kutoelewana yapo Sana kwa biashara Ila nyie likitokea jambo kama hilo mnapiga kelele jinsi mlivyodeal nalo halafu mnarudi kukubaliana. Hiyo contract hamjui nini kipo ndani na hata mkijua hamtoelewa maanake nyie Sio experts Ila government yenu kawaida inaona fursa ya kujionyesha kwa wananchi wajing jinsi ilivyo babe. Mnakuwanga na ufala Sana Na hizo loud declarations zenu.
 
mlipokataa cargo yetu kutua tukafungua scrapers zenu,kama kunyoosha mikono tusingereact kufungia scraper zenu,tulireact kutokana na roho mbaya baada ya hapo mkaona kitawaramba mudavadai akipiga simu kwa mama aipokelewi wa kwa VP muhongo akaona amrukie makamba,sie ni viburi zaidi yenu
Wabongo tumewazoea na hii tabia yenu ya kulialia kila mara. Hakuna vile tutawapea 5th freedom of air yet sisi ndio tulia apply wa kwanza back in 2021 na mukatuweka pending till date. Nyinyi munataka the same 5th freedom of air bila reciprocity. Hio hatuwezi kubali.
 
Huwa hamna diplomacy. Mnapenda kupiga kelele ndio msikike mababe. Mambo ya kutoelewana yapo Sana kwa biashara Ila nyie likitokea jambo kama hilo mnapiga kelele jinsi mlivyodeal nalo halafu mnarudi kukubaliana. Hiyo contract hamjui nini kipo ndani na hata mkijua hamtoelewa maanake nyie Sio experts Ila government yenu kawaida inaona fursa ya kujionyesha kwa wananchi wajing jinsi ilivyo babe. Mnakuwanga na ufala Sana Na hizo loud declarations zenu.
Kama kawaida they haven't read the MOU, wanakuanga bongolala sana, chochote their government says wanaamini ni ukweli. Hio 5th freedom of air right hawaipati untill ours is reciprocated. It's that simple.
 
Wabongo tumewazoea na hii tabia yenu ya kulialia kila mara. Hakuna vile tutawapea 5th freedom of air yet sisi ndio tulia apply wa kwanza back in 2021 na mukatuweka pending till date. Nyinyi munataka the same 5th freedom of air bila reciprocity. Hio hatuwezi kubali.
hatuna tunachokipata hukokwenu,kwenye hili nyie ndie mtakaeumia imagine per week kq ina route zaidi ya 20 ndani ya TZ while ATCL huko kwenu route zake azifiki hata 10,halafu kama hamna cha maana mnachokipata huku mngekula kimya baada ya hii ban
 
Kama kawaida they haven't read the MOU, wanakuanga bongolala sana, chochote their government says wanaamini ni ukweli. Hio 5th freedom of air right hawaipati untill ours is reciprocated. It's that simple.

Mbona kama una lia!?

Hakuna cha MoU hapa, ishu ni kufungia tu mpaka kuwe na equal battle grounds in terms of air transportation.

Hizo ndege sio zenu.. Mtaambia nini mabwana zenu! At the end of the day you must give in with our requests. Otherwise muendelee kupigwa fine kwa wenye ndege zao. Watu wamewekeza pesa kwenye ndege nyie mnataka kuwapa hasara kwa ujinga ujinga wenu na chuki za kifala.

Zuieni cargo isitue naipori then tuone who plays the zero some game.
 
Back
Top Bottom