Uchumi umechangamka mizigp imekuwa mingi kuliko uwezo wa Bandari tunajenga gati nyingine 6 za 500m each 2 bagamoyo na 4 Dar port.Waambieni basi hao watu wenu,mzigo kufika na kukaa melini mwezi mzima sio sifa. Unaleta mzigo uuze season ya Christmas na New year hizo siku zinapita mzigo haujatoka!
Huyo makamba ni kiherehere sana,hii issue si ya kisiasa kabisa,jamaa ana maslahi sana kenyaWakenya muache dharau ipo siku tutakuja kuwapiga makofi
Makamba nae angeacha kidogo tuwachachafe
Mpenda sifa yule sehemu kama hizi ndo anaona pa kuchukulia marks!! Pale FA palikua pamepoa sana. Kiki ndo hii sasa 🤣Wakenya muache dharau ipo siku tutakuja kuwapiga makofi
Makamba nae angeacha kidogo tuwachachafe
Mpenda sifa yule sehemu kama hizi ndo anaona pa kuchukulia marks!! Pale FA palikua pamepoa sana. Kiki ndo hii sasa 🤣
Bongo inawanyima usingizi 😅😅😅😅
Always jua kali, katikati ya mji kuna vumbi, matakataka, makaratasi, makopo. Why hamuwezi kuwa professional hata kidogo? tena hii picha umei crop kuficha mauchafu lkn wapi bado yanaonekana.Our own Times Square, Shibuya Crossing or Piccadilly Circus.
![]()