Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


Well nimeelewa kwanini Wakenya wanapigwa sana. Mtu yoyote akicompare cha Kenya na Tz, watakidefend chao hata kama kina upigaji, Ukisoma komenti ndio unaelewa why, hata hilo liSGR lao walilikubali kisa Tz hatukua na SGR that time, now Bei ile ile, KM Ndefu, Electrified, JOKAAAA. Wameanza kuitukana yao. Hata station hatuoni these days.

Wakenya ni hopeless kabisa, eti mtu anaridhia Ikulu kukarabatiwa kwa pesa za kujengea mpya, kisa eti Level.

Wapigwe tu.
 
Plans for the port of Dar es salaam.
Meli 38 ziko kwenye foleni nyingine 16 zinaingia leo
Waambieni basi hao watu wenu,mzigo kufika na kukaa melini mwezi mzima sio sifa. Unaleta mzigo uuze season ya Christmas na New year hizo siku zinapita mzigo haujatoka!
 
Nimefurahi sana kukamatwa kwa shehena hiyo ya Parachichi changa ambazo hazina viwango.

Waliingiza Tanzania ili wafanyie packaging hapa na labeling ili mzigo uonekane umetokea Tanzania. Washenzi wanataka kutuharibia soko letu huko nje kwa kuleta uzandiki wao wa kipuuzi.

Bahati nzuri hila zao zimegundulika mapema na kuzuia. Ni zaidi ya Tani 33 za Parachichi. Hawa jamaa wako serious kutuchafua huko nje na kuharibu image yetu kimataifa. Inatakiwa kulala nao mbele kwa speed na nguvu zaidi ya huo utoto wao.

Kitengo Chao kimeishiwa mbinu bado Kipo Dunia ya zamani ya propaganda za maneno matupu.
Washidwe na walegee 😎
 
Washidwe na walegee 😎

Ni bahati wameweza kukamata huo mzigo.

Ni vizuri Kila exit points wakaweka taarifa na kumbukumbu zake vizuri kwa Kila exports zinazofanyika Sasa. Ili ikitokea changamoto huko kwenye masoko ya nje iwe rahisi kupata data kamili.

Kama ni kwa Gari, road way bill iwe na taarifa sahihi za agent na mteja mwenye mzigo.. Hata kwenye shipping lines na airlines documents zao ziwe detailed. Ili maafisa wa forodha kule exit point wawe na taarifa rasmi na kamili.

Ikitokea ujanja ujanja kama huo bhas muhusika anaweza kupatikana vizuri tu na mambo mengine kufuata.
 
Good evening KISUMUUUU
ksm city.jpg
 
Back
Top Bottom