Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


View: https://youtu.be/USuXfOR7yRg?si=0VPShU1SPtVEn0xQ

MY TAKE
Hawa ndo wanaweza kuongea mbele yetu when it comes to BRT!

Ni wakupigiwa mfano,nimevutiwa na vituo vyao, kwa namna ninavyoamini Mola atakuwa amewaongoza wabunifu wetu kwa phases zinazofuata kutubunia vituo vinavyovutia!. Ni jambo la kujidai pia sisi kama Tanzania kuwa vinara na sehemu ya kuchota maarifa linapokuja suala la BRT Systems. Nimeona kaclip ka blue buses zetu kamechomekwa sehemu flani!😃Viva Tanzania, Viva Africa!.💪🏾✊🏾.
 
Ni wakupigiwa mfano,nimevutiwa na vituo vyao, kwa namna ninavyoamini Mola atakuwa amewaongoza wabunifu wetu kwa phases zinazofuata kutubunia vituo vinavyovutia!. Ni jambo la kujidai pia sisi kama Tanzania kuwa vinara na sehemu ya kuchota maarifa linapokuja suala la BRT Systems. Nimeona kaclip ka blue buses zetu kamechomekwa sehemu flani!😃Viva Tanzania, Viva Africa!.💪🏾✊🏾.
Anhh wapi vituo vyao vya kawaida sana tena vyetu vizuri sana
 
Tz
32737791973_5f9e77bb18_b(0).jpg
32737791753_652f83fed2_b(0).jpg
33552358655_e8dc08ab63_b(0).jpg
small(0).jpg
dar_es_salaam6_DART-Dar_es_Salaam_(Source WRI Brasil - Virginia Tavares).jpg.jpg
. Teargas Nicxie Kimbg. Au mnaumia? 🤣🤣🤣
 
Nilipokuwa nabishana na JF yoote humu kuhusu ulimbukeni wa kuwapa tenda Yapi Merkezi bila kushindanishwa nililiona hili!
Wakina ichoboy01 wakaona nawabania Yapi Merkezi na nawewekea usiku! Hii section sijui kama itaisha!
Hapo hawezi kukuelewa atajifanya hamnazo wakati Iko wazi mkandarasi amefilisika,hata anapolipwa pesa na govt kipaombele ni kwenda ku settle mambo yake Nje ya Nchi.

Hilo jambo alidokeza Mwigulu siku Moja kwenye Mkutano.
 
Back
Top Bottom