Enhh matusi ya nn sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Where did I quote Kenyamoja wewe mpumbavu wa Tandale?
Alaf meli zenyewe za kubeba ngamia na kondoo bila kusahu mikaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lamu port 19 ships in two years so sad indeed.
![]()
19 vessels in two years: Shame of underutilised Lamu Port
If completed, Lamu Port will have 32 berths and replace Mombasa’s Kilindini Harbour as Kenya’s largest port facility.nation.africa
Wewe na huyo kima wako mshawahi kutumia BRT ikawa inasimama kila baada ya mita 100?Wivu gani wakati anakupa elimu ya bure? Can you list down the features of an expressway road if you can?
Good 😂😂😂 then what is this.?👇You can't find a clean, wide and clearly marked road like this in Dar is slum CBD.
View attachment 2863982
Mambo ya 5 Star tumeachia Wakunya.
Kwa Sasa Tanzania ni level ya 7 Star 🔥🔥
View: https://www.instagram.com/p/C1wxBL1oCYJ/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Mwambie alete picha inayokaribiana na hii kwa usafi na road markings atafute kenya nzimaGood 😂😂😂 then what is this.?👇View attachment 2864020
Plate number hutolewa muda Gani?Unaweza kutoa plate number on board?Hapo ni TZ hata hizo trucks zina plate number ya Tanzania!
Dodoma na Arusha wafikirie kuwa na mwendokasi(BRT) ya umeme kama Senegal
View: https://www.instagram.com/p/C1wMZfBNqjx/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Wapigaji hawataruhusu hilo, wese ni biashara ya watu, nchi hii kwa sasa ni shamba la bibi . Hakuna uongozi.Bamjomba ni kiasi cha kununua bus za umeme tu hata Tukiamua sasa kubadlisha magari yetu yote ya BRT na kuya'replace na magari ya umeme inawezekana
Mbona magoti ni meusi sana 😀😀😀Nataka nione miss tourism wa Kenya
View attachment 2863695
Umekosa jibu ukaona utafute escape route? Typical of bongolalasWewe na huyo kima wako mshawahi kutumia BRT ikawa inasimama kila baada ya mita 100?
Hapo ni Dar cbd?🤣🤣Good 😂😂😂 then what is this.?👇View attachment 2864020
Angalia nilichomquote kwa kilaza mwenzako halafu wewe ukadandia train kwa mbele 👆BRT is not expressway. As long as that road has stops every 100meters and junctions every 200m it doesn't qualify to be called expressway.
Umekosa jibu ukaona utafute escape route? Typical of bongolalas
Unajua trucks zipi naongelea?Plate number hutolewa muda Gani?Unaweza kutoa plate number on board?
And yet mnasafirisha mbuzi, ng'ombe, punda, kondoo, ngamia na mavi yao!Mradi uliofeli?? Hivyo ndio unajiconsole?
Among the road projects in LAPSSET are the following and all are done and dusted
1. Lamu-Witu- Garden road (113km);
2. Lamu-Garissa-Moyale (530Km);
3. Isiolo-Moyale-Hawassa (505km);
4. Isiolo-Lokichar-Nadapal-Torit-Juba (700Km);
5. Isiolo – Marsabit – Moyale (505km)
Wewe endelea kujiliwaza na story za vijiweni hapo gongo la mboto