Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nicxie ethiopia anaakili sana kaona mbali sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
20240106_145923.jpg
 
mbona? Nipe reason why ya umeme wakati tuna gesi? Kipi bora na more practical? Kuwa na magari ya LNG nchi nzima au ya BRT ya umeme Arusha na Dodoma?
Hoja hapa ni kwamba tuhame kutoka kwenye diesel twende huko kwenye renewable be it umeme au gas
 

Kwa hiyo kucompile vimiradi uchwara na kuvipa jina 1 ndio big deal? Sasa miradi ya Kigoma wakiamua na wenyewe kuicompile na kuipa jina moja itakuaje? 😂😂

Kigoma wana zaidi ya kilometers 400 za lami,
kilometers zaidi ya 600 za electric SGR, bandari, international airport, meli za mizigo na abiria, 400kv grid ya kilometers zaidi ya 300, malagarasi hydropower project, dry ports etc

Note, miradi yote hii ni ndani ya Kigoma tu sio kama Lapsset ni Kunyaland yote na inafanyika kwa mwaka wa 30 sasa🤣🤣
 
Mradi uliofeli?? Hivyo ndio unajiconsole?

Among the road projects in LAPSSET are the following and all are done and dusted

1. Lamu-Witu- Garden road (113km);
2. Lamu-Garissa-Moyale (530Km);
3. Isiolo-Moyale-Hawassa (505km);
4. Isiolo-Lokichar-Nadapal-Torit-Juba (700Km);
5. Isiolo – Marsabit – Moyale (505km)

Wewe endelea kujiliwaza na story za vijiweni hapo gongo la mboto
Data za matakoni hizi, hamna hata kilometers 400 mliojenga so far 😂😂😂
 
Wewe kima ka uelewa wako mdogo unadhani ni nani hajazunguka Tz humu.? 🤣🤣🤣 Binafsi sio kuzunguka tu, nimefanya kàzi za marketing kwenye mikoa isiyopungua ishirini hapa Tz, ni Mzaliwa wa Tanga mjini, nimewahi kuishi Arusha 3 years, nimesoma Mwanza 3 years, kwasasa naishi Dar es salaam na huu ni mwaka wangu wa 4 consecutive. Nimezunguka mikoa yote ya kanda ya ziwa, kaskazini, nyanda za juu kusini+ central zone.. huko kwengine kote ambako sijaishi nilipelekwa na kàzi za marketing, sasa sijui we kima utanieleza nini mimi.?
Wewe marketing ofisa au mchambia mwiko tu.....nyie ndiyo mnazunguka na mafurushi ya mizigo viatu vimewaponda.....acha kushoboka shoboka....kama unakosa hoja uwe unafunika kundu lako
 
Back
Top Bottom