Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe siku zote wanapiga kelele humu yani Debt to GDP ratio ni 60% hapo kuna uchumi kweli 😀😀😀😀 kumbe wanamadeni mpaka matakoni
Mungu huwa analipa hapa hapa duniani, hawa walikuwa na mdomo mdomo sana, sasa mambo yamewashinda wanaanza matusi, hakuna kutukana ukweli unjidhihirisha, na hakuna nchi jirani inayowahurumia sababu mdomo mdomo wao.
 
Eti kenya inajilinganisha na usa wakati kenya hata hakuna kampuni ya ndani ya kenya inayoweza kuikopesha serikali mnaiga kunya kwa tembo mtapasuka msamba mwaka ujao
Huo ndio ujinga wao kuwapigia hesabu za debt america wakati wao ni masikini wakutupa 😀😀😀
Eti america ana deni la 103% lini ameskia america inayumba wakat pesa ya kenya iko under dollar control
 
Ukweli gani????? Tuma picha ya mathare ama ya uchumi wa Kenya kuyumbayumba iyo ndio kazi yako
Hasira punguzia hapa😀😀😀😀 kwa IMF
IMG_1075.jpg
 
Eti kenya inajilinganisha na usa wakati kenya hata hakuna kampuni ya ndani ya kenya inayoweza kuikopesha serikali mnaiga kunya kwa tembo mtapasuka msamba mwaka ujao
Deni za Kenya 70% ni internal kumbe wewe ni ngombe....KCB,EQUITY,COOP ndio biggest lenders to GOK
 
Povu linakutoka imf pia itakuwa yenu basi fungi tu ww imf inakujaje kuhoji madeni yenu ya ndani
Wanamadeni mpaka matakoni kumbe tunasifiwa thika super high way kumbe mikopo😀😀😀😀😀

Project zao zimegeuka kua white elephant sijui konza, tatu city sijui pinnacle na montave na lamu port zitabakia kwenye karatasi
 
Tz watu huenda supermarket kununua bidhaa na kisha kurud nyumbani sio km nyinyi washamba huenda outing kushangaa watu kwenye malls kuna mkenya nlimuuliza ratiba yake ya Wknd akaniambia kutembea kwa Mall nkagundua kwa ushamba huo unaweza kuona watu wengi ukajua wateja kumbe wazururaji kupiga selfies kujaza instagram
Brathe wewe ndiye mshamba nani alikuambia mall ni duka...
Mtu anweza enda date, say pizza inn, then a movie at imax alafu lunch ama dinner... Hata sio lazima ufanye shopping... Mshamba ni wewe
 
Back
Top Bottom