Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

amazing view of surfaced/paved roads in tanzania.
52ee446282b7a299bb0cd0eacacf2876.jpg
a0bbac8963de19197bc9b6d2c97202c7.jpg
1c8cf476a95c836e57fa7f73b87ab7ce.jpg
9f08987a56d9d35ce0c7911a42209457.jpg
28c6b96e36e7142914a344e061d665aa.jpg
a98f1399bf89115f5d8980301a72409b.jpg
2b40b0510810888436eb6a32eba6d95b.jpg
b6fe35af6da332e6bbd2dac8e5f63f13.jpg
f1c0ed1ea3e2f6c5fcf35895da452ab5.jpg
kuwa mwanahabari umekusaidia kupiga picha za Kawaida kwa wingi....kudos
 
Asante IMF...GDP ya mikopo na madeni
GDP yote ya kenya asilimia 60 ni deni alaf wapuuzi wanafungua midomo hapa😀😀😀😀😀
IMG_1075.jpg
 
Asante IMF...GDP ya mikopo na madeni
GDP yote ya kenya asilimia 60 ni deni alaf wapuuzi wanafungua midomo hapa😀😀😀😀😀
View attachment 636032
kwa hiyo, serikali itachukua asilimia yote 60 ya GDP ilipe deni kwa safari moja sio?😀😀😀ujinga ulionao ndugu unanipa wasiwasi...hivi unajua maana ya GDP?

asilimia kubwa ya GDP ya nchi hata haiko mikononi mwa serikali...iko kwa watu binafsi na makampuni...kwa hiyo unamaanisha wachina wataenda kwa watu binafsi kuwaambia walipe deni kisha tubaki na asilmia 40 sio?😀😀huwa mnafunzwa nini bongo?
 
Alafu Japan GDP to dept ratio ni 250% ya GDP
Japan sio size yako kwenye GDP, japan is among top 10 powerful economic country in the world, wewe usipeleke akili yako stage ya 100 wakat 50 hujapita😀😀😀 ndio maana nimekwambia tuliza ubongo wako
 
kwa hiyo, serikali itachukua asilimia yote 60 ya GDP ilipe deni kwa safari moja sio?😀😀😀ujinga ulionao ndugu unanipa wasiwasi...hivi unajua maana ya GDP?

asilimia kubwa ya GDP ya nchi hata haiko mikononi mwa serikali...iko kwa watu binafsi na makampuni...kwa hiyo unamaanisha wachina wataenda kwa watu binafsi kuwaambia walipe deni sio?😀😀huwa mnafunzwa nini bongo?
Sio mm ni IMF walilie hao😀😀😀😀
IMG_1075.jpg


Soma kwa makini hapo juu uelewe
 
Japan sio size yako kwenye GDP, japan is among top 10 powerful economic country in the world, wewe usipeleke akili yako stage ya 100 wakat 50 hujapita😀😀😀 ndio maana nimekwambia tuliza ubongo wako
Haha wewe tuma picha za kibera hauna cha maana
 
Sio mm ni IMF walilie hao😀😀😀😀
View attachment 636041
sasa kwa sababu deni la nchi ni asilimia 60 ya GDP ina maana debtors watachukua hio asilimia 60 safari moja Kenya ibaki na asilimia 40 ya GDP kwa mtazamo wako sio?😀😀😀mi nakwambia ningepelekwa shule tz najinyonga...mnafunzwa hivi shuleni sio? Hisabati na Kemia...Pwahahaha
 
Ujanja wote kumbe GDP 60% ni deni hahaha
Asante sana IMF😀😀😀😀😀😀 kumbe mchina wa gari moshi alikuja kupigilia msumari
wachina wanaidai serikali ya Kenya...sio GDP ya Kenya...see this idiot...haha
kisha hii deni hailipwi safari moja...inaweza chukua hata miaka 50 na zaidi kwa hiyo by the time deni linakamilika nchi pengine imefikia GDP ya 500 Billion...
 
sasa kwa sababu deni la nchi ni asilimia 60 ya GDP ina maana debtors watachukua hio asilimia 60 safari moja Kenya ibaki na asilimia 40 ya GDP kwa mtazamo wako sio?😀😀😀mi nakwambia ningeplekwa shule tz najinyonga...mnafunzwa hivi shuleni sio?
Wameambiwa wapumguze na huo ushauri umetoka IMF sasa ikiwa nchi imefkia hatua debt to GDP ratio ni 60% kuna uchumi gani hapo????? Kumbe mbwembwe zote munanuka madeni 😛😛😛😛
 
Back
Top Bottom