ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Middle class of debt to GDP ratio 60%😀😀😀Sisi tuko middle class pesa tunaeza pewa mingi ..nyinyi LDC bado..umeona deni ya developed
Developed wanauwezo wakulipa wewe ukowapi
Middle class of debt to GDP ratio 60%😀😀😀Sisi tuko middle class pesa tunaeza pewa mingi ..nyinyi LDC bado..umeona deni ya developed
unapigia mbuzi guitar tu...😀😀huyo jamaa education level yake shidaSisi tuko middle class pesa tunaeza pewa mingi ..nyinyi LDC bado..umeona deni ya developed
Hivi wewe mbona kichwa chako ni kigumu kuelewa?, ngoja nikupe mifano.ya darasa la tatu, ni kama kujaza maji kwenye ndoo yenye tundu chini, haitojaa kamwe.deni ya nchi hailipwi safari moja...inaweza chukua hata miaka 100...sasa unataka kuniambia kuwa in 100 years, Kenya itashindwa kupia deni hii? deni inalipwa pole pole...ni kazi ya IMF ku raise alarm but truth be told, hakuna any danger
Kilio cha samaki😀😛😛😛😛unapigia mbuzi guitar tu...😀😀huyo jamaa education level yake shida
Hao achana nao leo nimewashika kwenye makende hawana ujanja😀😀Hivi wewe mbona kichwa chako ni kigumu kuelewa?, ngoja nikupe mifano.ya darasa la tatu, ni kama kujaza maji kwenye ndoo yenye tundu chini, haitojaa kamwe.
Kenya inaendelea kukopa wakati uwezo wake wa kulipa ni mdogo, IMF imewaambia mkifikia 60%, wakopeshaji wataanza kuogopa kuwakopesha, je mtakaa bila mikopo hadi mtakapomaliza kurudisha hilo deni?, sasa kama hata IMF unabishana nao ambao ndiyo wanatumika kama ndiye anayesikilizwa na wakopeshaji, hiyo ni akili kweli?
Ata Japan ni developed of dept with ratio 250%Middle class of debt to GDP ratio 60%😀😀😀
Developed wanauwezo wakulipa wewe ukowapi
kenya inaweza hata ikakopa zaidi na hakuna shida itakayopatikana in the short term...nimemaliza...hizo mifano pelekea nyanyako mkajadili...😀😀Hivi wewe mbona kichwa chako ni kigumu kuelewa?, ngoja nikupe mifano.ya darasa la tatu, ni kama kujaza maji kwenye ndoo yenye tundu chini, haitojaa kamwe.
Kenya inaendelea kukopa wakati uwezo wake wa kulipa ni mdogo, IMF imewaambia mkifikia 60%, wakopeshaji wataanza kuogopa kuwakopesha, je mtakaa bila mikopo hadi mtakapomaliza kurudisha hilo deni?, sasa kama hata IMF unabishana nao ambao ndiyo wanatumika kama ndiye anayesikilizwa na wakopeshaji, hiyo ni akili kweli?
Nimjinga sana afadali atume picha za kiberaunapigia mbuzi guitar tu...😀😀huyo jamaa education level yake shida
Mkopeshwe na nani wakati wakopeshaji ndiyo hao.wanaanza kuwaogopa, labda mkope kwa alshabaab kwasababu mnawasaidia kuuza mkaakenya inaweza hata ikakopa zaidi na hakuna shida itakayopatikana in the short term...nimemaliza...hizo mifano peleka nyanyako mkajadili...😀😀
Nimekwambia na narudia kukwambia japan is developed country uchumi wake ni wa tano au wasita duniani hata wawe na debt 300% huwez kuskia nchi yao inayumba kwasababu uwezo wakulipa upo na ndio maana IMF imewaonya nyinyi masikini kua deni la taifa linatikisa uchumi wa nchiAta Japan ni developed of dept with ratio 250%
😀😀😀😀😀 Hasira hasaraNimjinga sana afadali atume picha za kibera
Hasira imepanda leo ni kilio cha samaki😀😀😀kenya inaweza hata ikakopa zaidi na hakuna shida itakayopatikana in the short term...nimemaliza...hizo mifano pelekea nyanyako mkajadili...😀😀
tutakopa huko kwa alshabaab basi...pumbavu mkubwa..😀😀Mkopeshwe na nani wakati wakopeshaji ndiyo hao.wanaanza kuwaogopa, labda mkope kwa alshabaab kwasababu mnawasaidia kuuza mkaa
Kumbe siku zote wanapiga kelele humu yani Debt to GDP ratio ni 60% hapo kuna uchumi kweli 😀😀😀😀 kumbe wanamadeni mpaka matakoniMkopeshwe na nani wakati wakopeshaji ndiyo hao.wanaanza kuwaogopa, labda mkope kwa alshabaab kwasababu mnawasaidia kuuza mkaa
Umeishiwa mseeHasira imepanda leo ni kilio cha samaki😀😀😀
sawa tieni jitihada kujitoa ktk nchi maskini za LDC...dont worry abt Kenya debtNimekwambia na narudia kukwambia japan is developed country uchumi wake ni wa tano au wasita duniani hata wawe na debt 300% huwez kuskia nchi yao inayumba kwasababu uwezo wakulipa upo na ndio maana IMF imewaonya nyinyi masikini kua deni la taifa linatikisa uchumi wa nchi
Hasira hasara😀😀😀😀😀 hebu punguza hasira hapatutakopa huko kwa alshabaab basi...pumbavu mkubwa..😀😀
Tukana unavyotaka ila ukweli ndiyo huo mlioambiwa na IMF, usinikasirikie mimi, hao ni IMF, na miaka hii mitano ya Uhuru na mvutano na NASA, lazima mtaikimbia nchi yenu.tutakopa huko kwa alshabaab basi...pumbavu mkubwa..😀😀
Yani mm nakwambia uchumi wenu wakati uko kwenye karatasi yani kama debt to GDP ratio ni 60% bro endeleeni kupika data za uchumi😀😀😀sawa tieni jitihada kujitoa ktk nchi maskini za LDC...dont worry abt Kenya debt