Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

una uhakika? hebu leta uo uahueni ninavyojua mimi hata fedha za TAZARA zilitolewa kipindi cha protests za cultural revolution yaani great leap forward kukiwa na njaa kali! Hivi vitu chunguza undani wake usiwe mtu wa kuropoka na kuwa mwepesi wa kujifananisha!
Hatujawahi kufanana na wachina, walikuwa vizuri kuliko sisi. Famine iliyotokea (1959-1962) walikuwa kwenye kipindi cha mpito (baada ya vita na mabadiliko ya kiuchumi na kiutamaduni). Waliokufa kwenye famine ni kama wastani wa 35mil kwenye nchi iliyokuwa na 800mil hivi (4%).
 
Hatujawahi kufanana na wachina, walikuwa vizuri kuliko sisi. Famine iliyotokea (1959-1962) walikuwa kwenye kipindi cha mpito (baada ya vita na mabadiliko ya kiuchumi na kiutamaduni). Waliokufa kwenye famine ni kama wastani wa 35mil kwenye nchi iliyokuwa na 800mil hivi (4%).
jaribu kujua kinachoongelewa hapa!
 
KQ has leased a new Airbus A330.. chini ya maji tu, did not make it to news headlines
IMG_6142.png
 
Mimi sikufananisha Tanzania na China, but what I said ni kuwa, tungekuwqa mbali kiuchumi na viwanda vyetu vingi vilivyokufa vingekuwa mbali kwa sasa, thats all - which is true.
Viwanda vyetu vilikufa kwasababu ya sabotage na haya yanaendela mpaka leo, mfano mzuri ni jinsi walivyopinga ujenzi wa bwawa la Nyerere (no loan na kupiga propaganda kwenye media zao)

Miaka ya kati ya themanini bei ya kahawa ilikuwa around $0.64 kwa pound. Serikali iliamua ku double uzalishaji (gharama za pembejeo, nguvukazi, mbolea ziliongezaka). Kuona hivyo, wakubwa (ambao ndiyo wapanga bei) wakashusha bei ya kahawa by half na kuwa $0.32, tukapata hasara. Baadhi wanaweza kusema ni suala la demand/supply ila ukweli ni sabotage tuu.
 
Viwanda vilikufa kwasababu ya sabotage.

Miaka ya kati ya themanini bei ya kahawa ilikuwa around $0.64 kwa pound. Serikali iliamua ku double uzalishaji (gharama za pembejeo, nguvukazi, mbolea ziliongezaka). Wakubwa, (ambao ndiyo wapanga bei) wakashusha bei ya kahawa by half na kuwa $0.32, tukapata hasara. Baadhi wanaweza kusema ni suala la demand/supply ila ukweli ni sabotage tuu.
Kipindi cha mkapa aliingizwa mkenge viwanda vingi mno vilikufa na vingine vikahamishiwa kunyaland
 
Wayahudi waache kukalia Ardhi za Wapalestina, vinginevyo mtaingia mliomo na wasiokuwemo.

Tanzania na Palestine ni marafiki wa kihistoria Nyerere na Arafat.

Nyie Wayahudi wa Tandahimba ndio mnalazimisha urafiki na Israel wakati tiliwahi timua Ubalozi wao.
Sina mrengo wowote kama wapalestina wanashirikiana vizuri na Tanzania nitawasapoti kama wayahudi wanashirikiana vizuri na Tanzania pia watasapotiwa vita vyao havinihusu wauane wamalizane watajua wenyewe, kibaya ni pale kwenye mapigano yao wanauawa watu wasiohisika na ugomvi wao, hilo ni kosa kubwa hata kwenye sheria za kimataifa za kivita
 
Kipindi cha mkapa aliingizwa mkenge viwanda vingi mno vilikufa na vingine vikahamishiwa kunyaland
Zilikuwa sera za kimafia za debt restructuring za IMF ambazo mwalimu alizikataa na kuamua kung'atuka. Mwinyi alipoingia akazikubali, ndipo tukaondoa National service (vijana tukakosa uzalendo), tukaifungua nchi kwa kuleta mavitu second hand kama mitumba.

Mitumba kwa mfano, iliua industry chain yote ya zao la pamba, kuanzia wakulima shambani, kwenye viwnda vya zana vya kilimo, viwanda vya textile, mpaka kwa mafundi cherehani, wote wakakosa kazi. Mkapa yeye ndo akaja kugawa kila kitu hata vile vilivyokuwa na faida kama NBC.
 
Kwa nini Hotel nyingi za Kenya hawaweki mabomba ya kunawia bafuni/chooni ? Hamuoni mnawapa Maustadh shida ya kutumia shower au sinki za kupigia mswaki kuchukua udhu??
 
Back
Top Bottom