ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Kila mara nakukumbusha kuhusu upumbavu wako. Mnaleta ujinga kwenye maisha ya wengine. Nyie wengi wenu ni wapumbavu sana, mmeshindwa hata kujua Kidiplomasia Israel-Tanzania hazijakaa vizuri.
Mnaanza kusambaza narratives na picha kwa kujastifai mauaji ya kinyama aliyofanyiwa Mtanzania kwa sababu waliofanya ni Miungu yenu?
Joshua hata kwa karibu hafanani na hizo picha.
View attachment 2848266
View attachment 2848274
View: https://x.com/KipepeComrade/status/1737404278996619285?s=20
BRT,SGR yenye umeme, bwawa la umeme la mega watts 2113 BRT tena inaendelea awamu nyingine, soko la kisasa east africa ubungo, bandari, haya hampo mmejenga kipi kenge wewe? hio BRT sio ile lipstick mliopaka BRT ni mfumo.What are you building that Kenya has never build before?
China wamesuport Ukombozi wakia kwenye ahueni ya kiuchumi, sio kama sisi ambao tuliachiwa nchi ikiwa kama msitu wa minazi.Hapa sasa ndo huanza kujichanganya! China ime-support pia ukombozi wa Africa ukiacha Vietnam na sehemu mbalimbali na wapo hapo walipo!
Mega pipeline project eacop, mega airports, mega water projects, mega Bridges, mega Hydropower projects!BRT,SGR yenye umeme, bwawa la umeme la mega watts 2113 BRT tena inaendelea awamu nyingine, soko la kisasa east africa
una uhakika? hebu leta uo uahueni ninavyojua mimi hata fedha za TAZARA zilitolewa kipindi cha protests za cultural revolution yaani great leap forward kukiwa na njaa kali! Hivi vitu chunguza undani wake usiwe mtu wa kuropoka na kuwa mwepesi wa kujifananisha!China wamesuport Ukombozi wakia kwenye ahueni ya kiuchumi, sio kama sisi ambao tuliachiwa nchi ikiwa kama msitu wa minazi.
Wayahudi waache kukalia Ardhi za Wapalestina, vinginevyo mtaingia mliomo na wasiokuwemo.Inashangaza na inatia kichefuchefu watanzania ndio wanaowatetea hamas just kwa sababu ya dini tu, waafrika tuliwezwa na hizi dini kiukweli na kuna madini mengine saivi yamehalalisha ushoga
Once completed, the pipeline would be the longest electrically heated crude oil pipeline in the world....What are you building that Kenya has never build before?
Muulize any international airport inajengwa Ukunyani!Once completed, the pipeline would be the longest electrically heated crude oil pipeline in the world....
Guess what i am talking about 🤣
Halafu picha zenyewe ni kilimani,eastleigh,upperhill za kibera awaleti na maslums yao mengine awaleti 😂we ushaona tunaweka picha ama tumehamia kwenye miradi leteni miradi acheni utoto.
Najua Historia vyema na how walivyofinance mradi wa Tazara na ni kweli China back then walikuwa na njaa but still, they were far much better than us, sisi ambao tulikuwa na mainjiania wawili tu na madaktari 12 to a point kwamba, manesi zaidi ya 20 walitolewa kisiri Africa ya Kusini kuja kupiga tafu baada ya manesi wa Kizungu kusepa kwa madai hawawezi ishi kwenye nchi inaongozwa na mtu mweusi. Fuatilia page yangu ya twitter kuhusu mambo haya na mengine, siropoki naongea nikiwa naushahidi. They were poor but far much better than us na sisi tulijitoa mno na ndio jambo lilipeleka kuwa na uchumi tulionao leo. Kauli hii ya Ramaphosa sio ya kwanza, ni ya tatu.una uhakika? hebu leta uo uahueni ninavyojua mimi hata fedha za TAZARA zilitolewa kipindi cha protests za cultural revolution yaani great leap forward kukiwa na njaa kali! Hivi vitu chunguza undani wake usiwe mtu wa kuropoka na kuwa mwepesi wa kujifananisha!