ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,487
- 88,627
Huyo mtu wako ni Bora akisimamiwa sio kusimama kama yeye,hakufaa kuwa Rais ana mihemko,anakurupuka mpenda sifa,katili na very arrogant na angeingia awamu ya pili angeleta disaster Nchini.Magufuli ni Raisi bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania hata wewe mwenyewe moyoni unajua hilo na quotes zako nnazo ukipinga nitag nikuletee, ulitoa ushauri fulani hivi kwenye uzi wako na Magu akaufanyia kazi, wewe unamkubali sn Magu sema maisha ya kiafrika yanajulikana bila unafki tonge litaingia kwa tabu kinywani, Bashe pia ni mfuasi wa Magu na aliwekwa serikalini kwa mara ya kwanza na Magu huyo huyo, hii ni kutokana na ukweli kwamba Magu hakubagua, ukiwa genius hata kama unampinga anakupa kitengo, kama Bashe alikuwa anakosoa sn serikali ila Magufuli akaona ana point zen akampa kitengo. Ni ngumu sana kumtofautisha Magu na Tanzania mpya, ni ngumu mno hata wewe unajua.
Unaweza ona Samia anavyosogeza Nchi hii Kila sekta na bila visingizio,bila mihemko na bila kukurupuka and she has vision.