Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG-20230528-WA0015.jpg
 
kwenye huu mgogoro, watanzania wengi wanasombwa na hisia za kidini. Unakuta mkrito anashika bendera ya Israel na muislam anashika ya palestina na kuanza kushikana mashati bila kujua nini hasa kiini cha mgogoro.

Hawa Hamas (tofauti na PLO ya Arafat ambayo Nyerere alikuwa akiitetea), baadhi wamekuwa radicalized kwa sponsorship ya zionist wenyewe ili kutengeneza justification fulani Gaza.

Ukiangalia vitendo hivi kama kilichomkuta huyu mtanzania mwenzetu, utaona vinafanana na vile vilivyotokea Syria, Libya na hata West Afrika. Hii pattern ndiyo wengi wanashindwa kuunga dots zake, ili kupata picha kamili.
Hatuna Muda wa kuunga dots na conspiracy, Hamas are very savage na sii Hamas tu imekuwa ni tabia ya Wapalestina, ukijiita Mpalestina Unakuwa umelaanika. Hakuna nchi wamewahi kugusa ikawa na amani, Misri, Jordan hawawapokei sababu wanawajua kuliko mtu yoyote Duniani.

Wapalestina walimuua mfalme wa Jordan, imagine mkimbizi unamuua mtu aliyeupa Hifadhi
Wapalestina walichochea na kupigana dhidi ya Wakristo Lebanon,
Syria Juzi tu hapo Hamas walikuwa wanapigana na Assad kwa kuwaunga Mkono free syrian arm.
Hamas ilitokana na Muslim Brotherhood, imagine
 
These people are savages. Why shoot someone ambaye hausiki na mgogoro?
Mateka hutumiwa kama silaha au chambo ya kushinikiza jambo lao bila kujalisha ni WA upande gani.

Inauma ila ndio hivyo Dunia sio salama so inatukumbusha kwamba tusiwe tunashabikia vita anywhere maana madhara yake yanaweza kukuta hata wewe usiyetarajia.

Yule wa Ukraine na Hawa madogo 2 wote yamewakuta Wakiwa masomoni.
 
Hatuna Muda wa kuunga dots na conspiracy, Hamas are very savage na sii Hamas tu imekuwa ni tabia ya Wapalestina, ukijiita Mpalestina Unakuwa umelaanika. Hakuna nchi wamewahi kugusa ikawa na amani, Misri, Jordan hawawapokei sababu wanawajua kuliko mtu yoyote Duniani.

Wapalestina walimuua mfalme wa Jordan, imagine mkimbizi unamuua mtu aliyeupa Hifadhi
Wapalestina walichochea na kupigana dhidi ya Wakristo Lebanon,
Syria Juzi tu hapo Hamas walikuwa wanapigana na Assad kwa kuwaunga Mkono free syrian arm.
Hamas ilitokana na Muslim Brotherhood, imagine
Nyie watu mlioshikilia dini za Wakoloni ndio mnatuletea shida Kwa watu Wetu.

Saizi mnabishana Kwa misingi ya dini zenu za Waarabu na Wazungu na sio Kwa misingi ya humanity kama wazee Wetu wa zamani.

Endeleeni kushabikia vita Kwa milengo ya dini mwisho ndio utakuwa huo.Just imagine kule Sudan wangechelewa kutoka unadhani Watanzania wangapi wangekufa? Ungeendelea kujadili mambo yenu ya dini?

Mwisho hata wale waliokuwa wanaua wenzao na kuwatumbukiza kwenye viroba waliopitwa wasiojulikana walikuwa ni makatili kama hao hoa Hamas walivyowafanya Vijana wetu tofauti ni kwamba hao wengine video hazikuenda viral.
 
Hatuna Muda wa kuunga dots na conspiracy, Hamas are very savage na sii Hamas tu imekuwa ni tabia ya Wapalestina, ukijiita Mpalestina Unakuwa umelaanika. Hakuna nchi wamewahi kugusa ikawa na amani, Misri, Jordan hawawapokei sababu wanawajua kuliko mtu yoyote Duniani.

Wapalestina walimuua mfalme wa Jordan, imagine mkimbizi unamuua mtu aliyeupa Hifadhi
Wapalestina walichochea na kupigana dhidi ya Wakristo Lebanon,
Syria Juzi tu hapo Hamas walikuwa wanapigana na Assad kwa kuwaunga Mkono free syrian arm.
Hamas ilitokana na Muslim Brotherhood, imagine
Wakristo, waislam na wayahudi wameishi vizuri tuu kwa miaka nenda rudi hapo, kabla ya 1948. Unafikiri ni nini kimesababisha hii radicalization?

ChoiceVariable vipi serikali ya mama imeshatamka chochote kuhusu haya mauaji ya mtazania?
 
Back
Top Bottom