The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Mm sijui kwnn mavitu ya Kenya hasa ndege nayaogopa sn, wakenya ni wababaishaji sn hata maintenance hawafanyi, siwezi ku risk maisha yangu kupanda kq.
Nye nye nye🤣🤣🤣Here we have universal health insurance kila mtanzania is covered
.
Kuna mtu humu ndani alisema KQ ni flying coffin 🤣🤣🤣
Kuna mtu humu ndani alisema KQ ni flying coffin 🤣🤣🤣
Siwezi potea na hakuna mtu wa kunipoteza kwenye nchi hii,labda tukupoteze wewe.........Ningekuwa na uwezo kila Mtz ambae ni Mwana CCM ningempoteza ili tubaki watu wenye akili tuijenge upya nchi yetu isiokuwa na Uswahili na UchawaLazima uufyate ila ukijifanya Chadema utapotea
Nov 2022 kweli??😁😁😁😁
Na hiyo ilikuwa ni tatizo la engine kwenye A220 karibia zote kwenye nchi mbalimbali na watengenezaji walishahuri zipakiwe kwanza kwa ajili ya marekebisho.Nov 2022 kweli??😁😁😁😁
Watu wanakupa habari ya jana ww unaleta ya mwaka jana??
View attachment 2844127
Anaumia sana na mm nafurah sana kuona akiumia 😅😅😅😅 sasa hvi huskii akiongelea masaki maana ndugu yake kashamwambia kua masaki ni ngoma nyingineNa hiyo ilikuwa ni tatizo la engine kwenye A220 karibia zote kwenye nchi mbalimbali na watengenezaji walishahuri zipakiwe kwanza kwa ajili ya marekebisho.
Maana naona anatafuta pa kutokea. 😂😂😂
Ni kabishi hadi mishipa ya uso inamtoka na hasira nyingi. 😂😂😂Anaumia sana na mm nafurah sana kuona akiumia 😅😅😅😅 sasa hvi huskii akiongelea masaki maana ndugu yake kashamwambia kua masaki ni ngoma nyingine
halafu hizi engines ni toka kwa manufacturer na si uzembe wa Air Tanzania management!Nov 2022 kweli??😁😁😁😁
Watu wanakupa habari ya jana ww unaleta ya mwaka jana??
View attachment 2844127
Nimegundua waliniibia hii picha nilipiga siku Mjomba Magu anazipokea, wakulungwa hawanitaji kabisa na ku credit duh 🤣Nov 2022 kweli??😁😁😁😁
Watu wanakupa habari ya jana ww unaleta ya mwaka jana??
View attachment 2844127
Air Tanzania A220-300 by indaressalaam, 於 Flickrunaweza ukawashitaki!Nimegundua waliniibia hii picha nilipiga siku Mjomba Magu anazipokea, wakulungwa hawanitaji kabisa na ku credit duh 🤣
Air Tanzania A220-300 by indaressalaam, 於 Flickr
Hii mbona huku-post? Vitu vikigota?CRRC Qiche Dispatched 50 New Flat Wagons to the KRC on 5 November 2023
hapa ni kazi tu.View attachment 2843064View attachment 2843065View attachment 2843068View attachment 2843069
Eboo em tumpuzishe kidogo sisi tuna international stadium yenyu ni so local tanzo bado nyie mko chini😎😎😎😎Kenya nzima haina uwanja wenye roof ya namna hii na ina-cover sitting area yote kama hivi! Wanajua ndo maana wako kimya! nawa-challenge walete zile international stadiums zao! Kule Ukunyani ni "mambati rollings"!Hapo hatujaongelea mabango ya matangazo ya kieletroniki!
mpumbavu wa ukoo wa Sadima alias mwai sadima Dickson mwaiofhawaii nakuona online njoo ujibu hii maneno!