Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣 Cry harder little sister .. Seven eleven kawe👇View attachment 2839073View attachment 2839074View attachment 2839075.. Samia housing scheme Kawe.. 👇View attachment 2839076View attachment 2839077.. 🤣🤣🤣 tukiwa hatupost hainamaana kwamba hatufanyi. Lia sasa.. hiyo ni kawe alone.
Sasa nyumba za 10 floors ndio unapinga nazo kelele wakati Mimi napost 20+ floors? Kweli mko nyuma.

Again why post picha za 2018 in December 2023? Hamna cha kupost ama? Project enyewe pia imekuwa stalled 😂😂😂🤣

Screenshot_20231211-011805_1.jpg
 
Nairobi construction boom is giving these witches sleepless nights hadi wanapost picha za 2018 just to look relevant 😂😂😂
Screenshot_20231211-011805_1.jpg
 
Sasa nyumba za 10 floors ndio unapinga nazo kelele wakati Mimi napost 20+ floors? Kweli mko nyuma.

Again why post picha za 2018 in December 2023? Hamna cha kupost ama? Project enyewe pia imekuwa stalled 😂😂😂🤣

View attachment 2839088
🤣🤣🤣🤣🤣 Nikukumbushe post zako au unapiga pang'ang'a 🤣🤣🤣. Kawe alone Iko na over 20 high rise buildings under construction. What do you have to show me in comparison.
 
Kijamaa kikilaga chuma kinatafuta vijisababu 🤣🤣🤣🤣 these are two housing projects at Kawe that are currently under construction. zote hizi ni NHC Projets Teargas Samia housing scheme 10 buildings with ten storeys each 👇
1-kawe-1.jpg
4(0).JPG
.. seven eleven 👇
liner-960.jpg
Screenshot_20231211-000556_1.jpg
🤣🤣🤣 vipi unataka kulia.? 🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nikukumbushe post zako au unapiga pang'ang'a 🤣🤣🤣. Kawe alone Iko na over 20 high rise buildings under construction. What do you have to show me in comparison.
Kawe is a dead project. Since 2018 there's nothing going on huko.

Jevanjee Affordable Housing. 32 buildings of 15 floors each.
 
Kawe is a dead project. Since 2018 there's nothing going on huko.

Jevanjee Affordable Housing. 32 buildings of 15 floors each.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wacha kupiga nduru. Hakuna mradi mkubwa wa nyumba in the whole of kenya currently we endeleae kupost vigorofa kimoja kimoja
 
Kijamaa kikilaga chuma kinatafuta vijisababu 🤣🤣🤣🤣 these are two housing projects at Kawe that are currently under construction. zote hizi ni NHC Projets Teargas Samia housing scheme 10 buildings with ten storeys each 👇View attachment 2839090View attachment 2839091.. seven eleven 👇View attachment 2839092View attachment 2839093🤣🤣🤣 vipi unataka kulia.? 🤣🤣
First, these are 5 year old pictures. If at all construction is ongoing then post current pictures 🤣🤣😂.

Second, you are desperate that's why unapost takataka za 2018.
 
Mahindra inakuwa assembled Kenya😂😂
We nae ndiyo maana unaonekana chale unapinga kila kitu hata cha wazi mjinga wewe, mahindra ameshaweka kiwanda Tz utake ndio hivyo usitake ndiyo hivyo, kwa sasa wakenya zoeeni ukweli kwamba investors wote wanakuja Tz ndio kwenye mazingira bora, hakuna vita, hakuna ukabila hakuna vurugu. Investor gani atakuja Kenya kuwekeza? Mnawaharibia mali zao kwasababu ya ukabila wenu, si bora awekeze Tz, nyie mtakuja Tz kununua mtake msitake.
 
We nae ndiyo maana unaonekana chale unapinga kila kitu hata cha wazi mjinga wewe, mahindra ameshaweka kiwanda Tz utake ndio hivyo usitake ndiyo hivyo, kwa sasa wakenya zoeeni ukweli kwamba investors wote wanakuja Tz ndio kwenye mazingira bora, hakuna vita, hakuna ukabila hakuna vurugu. Investor gani atakuja Kenya kuwekeza? Mnawaharibia mali zao kwasababu ya ukabila wenu, si bora awekeze Tz, nyie mtakuja Tz kununua mtake msitake.
Tz will only be assembling tingatinga🤣🤣😂🤣. When it comes to Mahindra pickup lazima mfike Kenya.
 
Back
Top Bottom